Richard Mwenye asili ya Kusadika, alizaliwa wakati mama yake ana miaka 40+, wakati huo mama alikuwa na ajira katika mmoja ya mashirika ya Umoja wa Mataifa, New York. Baada ya kustaafu mama...
Habari zenu,
Watu wa MUNGU mimi ni mwalimu wa secondary, nina mke ila hatujafanikiwa kupata mtoto, pia nina fanya masters evening session katika field nyingine na sio education, lengo niondoke...
Zaidi ya maneno ya kumtia moyo kwamba yataisha au atapata mwingine bora au mwache atarudi.
Je ni activities gani unafanya rafiki yako akiwa yupo kwenye nyakati ngumu za mawazo ya kuachwa...
"The First Time Ever I Saw Your Face"
The first time ever I saw your face
I thought the sun rose in your eyes
And the moon and the stars were the gifts you gave
To the dark and the endless skies...
Habari ya Jumapili WanaJF wenzangu!
Naomba tushee hii light moment pamoja.
Kwanza nikiri kuwa mimi nimekuwa mhudhuriaji mzuri sana wa JF na ni miongoni mwa watu waliofaidika sana kutoka kwenye...
Wakuu,
Wiki iliyopita nilivyoamka asubuhi, nilikuta chupi ya kike na sidiria vimewekwa kwenye mlango wa geto langu. Nikapotezea kwa kudhani kuwa nguo za jirani zimepeperushwa na upepo zikatua...
Kwa Tanzania asilimia kubwa sana kwa sasa watu wake hawana mapenzi ya dhati kwenye mambo ya mahusiano kuanzia ya wapenzi mpaka ya ndoa.
Je, kwa walio tembea nchi mbalimbali mnadhani ni nchi gani...
Sasahivi wanaume wamekuwa waongo kuliko kitu chochote hasa kwa sisi wanaume kwanini unamwambia mwanamke kwamba nitakupa kila kitu unachotaka nikubalie tu ili uone yule msichama akishakubali basi...
Huyu dada alikuwa gf wangu long time kitambo. Katika harakati za maisha tukaja kupotezana, si unajua enzi hizo hakuna mitandao.
Sasa mwezi wa 10 mwaka jana tukaja kukutana katika pilika pilika za...
Hivi unajua maana ya neno “engagement?” yaani kile kitendo cha mwanaume kutangaza mbele ya umma jinsi moyo wake ulivyompenda binti fulani na kama alama ya kuthibitisha nia hii ya dhati kijana huyu...
John na Rose walikuwa majirani na walisoma shule moja nchini Kenya, walipendana sana na uhusiano wao ulihama kutoka kwenye urafiki na kuwa mapenzi. Waliahidiana kufunga ndoa, walimaliza shule...
Kimsingi mambo yamepamba moto,hakukaliki kichwa kinapasha joto.
Kumbe kidume amedaka simu ya mke wake akaanza kuchat na mimi story kali za yale mambo yetu,na mimi nikafunguka balaa nikijua nachat...
SPECIAL KWA WADADA
Umepata Bwana, Umempenda Kweli kweli na Umemlalamikia Sana Eti Kwanini Hakupeleki Kwa Wazazi Wake Kukutambulisha, Jamaa Akagoma Sana mwishowe akaona isiwe Kesi Akakupeleka...
Heshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni...