Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
Richard Mwenye asili ya Kusadika, alizaliwa wakati mama yake ana miaka 40+, wakati huo mama alikuwa na ajira katika mmoja ya mashirika ya Umoja wa Mataifa, New York. Baada ya kustaafu mama aliamua kusettle huko Marekani.
Richard alitamani sana kujua mila za Kusadika, akiwa kijana wa miaka 27 alifunga safari kwenda Kusadikia kwa mara ya kwanza. Alikutana na binamu zake waliompokea vizuri. Walianza kumuonyesha viwanja. Katika kuzunguka Richard alikutana na binti mrembo anaitwa Leah.
Richard na Leah walinza kudate, Richard alimpenda sana Leah, alianza hata kufiria lini atampeleka Marekani mama yake akamuone, mwenyewe alishajiona amepata mke. Leah alikuwa anabeep tu, hakuwa amefika kivile, na ile American English anayotema Richard, ilikuwa inamzengua tu. Alikuwa na jamaa yake pembeni basi na alikuwa anamwambia ngoja huyu mmarekani aondoke bwana.
Binamu zake Richard walipata habari ya ndugu yao kusalitiwa, iliwauma sana, tena Leah alijisifu hukoo, ah mimi naenjoy pesa yake tu. Mugabe alisema "hakuna kinachomzengua mwanamke kama kuwa na jamaa alosto mwenye ufundi kunako kitanda".
Richard alipopata issue nzima alimpigia simu Leah akamwambia mimi karibia ninaondoka sasa ninataka tumalize hii wiki pamoja, nikupeleke shopping, twende viwanja, tuienjoy manake. Leah alikubali, alipelekwa shopping, Richard akisisitiza anapenda kumwona amevaa nguo nyeupe wakienda club. Leah alichagua mini dress nyeupe, kiatu handbag, perfume, mambo ya fashion fair n.k
Kabla hawajaenda club Richard alinunua drink alifanikiwa kuweka laxido kwenye kile kinywaji, kutoka hapo walikula baadae wakaenda viwanja. Wakati wako kule Leah alisikia tumbo limebadilika, aliharisha mpaka gauni lake lenye rangi nyeupe lilionja kidogo. Richard alimwambia Leah nilikupenda sana, nilikupa heshima yote, kama hukunipenda ni kheri ungeniambia, ulijisifu kwa wenzako unaenjoy pesa yangu tu huna mpango na mimi, sasa nenda kawaambie wenzako umeharisha pesa yangu.
Richard alitamani sana kujua mila za Kusadika, akiwa kijana wa miaka 27 alifunga safari kwenda Kusadikia kwa mara ya kwanza. Alikutana na binamu zake waliompokea vizuri. Walianza kumuonyesha viwanja. Katika kuzunguka Richard alikutana na binti mrembo anaitwa Leah.
Richard na Leah walinza kudate, Richard alimpenda sana Leah, alianza hata kufiria lini atampeleka Marekani mama yake akamuone, mwenyewe alishajiona amepata mke. Leah alikuwa anabeep tu, hakuwa amefika kivile, na ile American English anayotema Richard, ilikuwa inamzengua tu. Alikuwa na jamaa yake pembeni basi na alikuwa anamwambia ngoja huyu mmarekani aondoke bwana.
Binamu zake Richard walipata habari ya ndugu yao kusalitiwa, iliwauma sana, tena Leah alijisifu hukoo, ah mimi naenjoy pesa yake tu. Mugabe alisema "hakuna kinachomzengua mwanamke kama kuwa na jamaa alosto mwenye ufundi kunako kitanda".
Richard alipopata issue nzima alimpigia simu Leah akamwambia mimi karibia ninaondoka sasa ninataka tumalize hii wiki pamoja, nikupeleke shopping, twende viwanja, tuienjoy manake. Leah alikubali, alipelekwa shopping, Richard akisisitiza anapenda kumwona amevaa nguo nyeupe wakienda club. Leah alichagua mini dress nyeupe, kiatu handbag, perfume, mambo ya fashion fair n.k
Kabla hawajaenda club Richard alinunua drink alifanikiwa kuweka laxido kwenye kile kinywaji, kutoka hapo walikula baadae wakaenda viwanja. Wakati wako kule Leah alisikia tumbo limebadilika, aliharisha mpaka gauni lake lenye rangi nyeupe lilionja kidogo. Richard alimwambia Leah nilikupenda sana, nilikupa heshima yote, kama hukunipenda ni kheri ungeniambia, ulijisifu kwa wenzako unaenjoy pesa yangu tu huna mpango na mimi, sasa nenda kawaambie wenzako umeharisha pesa yangu.