Rafiki yako akiachika unafanyaje?

MIGUGO

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,137
3,931
Zaidi ya maneno ya kumtia moyo kwamba yataisha au atapata mwingine bora au mwache atarudi.

Je ni activities gani unafanya rafiki yako akiwa yupo kwenye nyakati ngumu za mawazo ya kuachwa?

Utamwacha ajinyonge?
Au awe mlevi?
Ajifungie ndani na kulia kila siku?
Au aache kazi na kusafiri mbali?
Amuwinde ex wake kutaka kumuua?
Au aanze kutembea na wapenzi mbalimbali?

Wana jf utafanya nn kwa rafiki/mshkaji/swaiba yule mloshibana?
 
" Utamwacha ajinyonge?
Au awe mlevi?
Ajifungie ndani na kulia kila siku?
Au aache kazi na kusafiri mbali?
Amuwinde ex wake kutaka kumuua?
Au aanze kutembea na wapenzi mbalimbali?
"

tunachagua kati ya hayo au ata ukiwa na ushauri mwingine unatoa?
 
Mie nitamwambia awe mvumilivu hakuwa chaguo lake awe anasali sana kumwomba Mungu ampe mtu sahihi kwake na amsahaulishe maumivu aliyopata
 
ni vizuri mtu kusahau yaliyopita na kuangalia yaliyo mbele yako. Maji yakimwagika hayazoleki lkn pia itategea na tatizo lilowaachanisha kama linaweza kutatuliwa.
 
ntampa muda wangu mwingi,yani ntampa kampani ya kutosha ikibidi ntamwita hata geto kwangu aamie kwa muda(maana pindi mtakapoachana tu anaanza kuwaza sana,ila mkiwa wote muda mwingi mtakuwa mnaongea na sio kuwaza) kujimix kwenye sehem mbalimbali kama kwenda jogging,kuswim,kucheza pool kucheki movie etc inategemea na interests ila usiruhusu ulevi tuu(hata kama mmeenda club).mwanangu wa ukweli lazma nimpe ubize angalau stress zisimpe madhara makubwa.mtu mwenye stress akiwa alone anakuwa zaid ya lonely.
 
ntampa muda wangu mwingi,yani ntampa kampani ya kutosha ikibidi ntamwita hata geto kwangu aamie kwa muda(maana pindi mtakapoachana tu anaanza kuwaza sana,ila mkiwa wote muda mwingi mtakuwa mnaongea na sio kuwaza) kujimix kwenye sehem mbalimbali kama kwenda jogging,kuswim,kucheza pool kucheki movie etc inategemea na interests ila usiruhusu ulevi tuu(hata kama mmeenda club).mwanangu wa ukweli lazma nimpe ubize angalau stress zisimpe madhara makubwa.mtu mwenye stress akiwa alone anakuwa zaid ya lonely.

Hayo ndio maneno mkuu.Ushawahi angalia movie moja inaitwa THE ODD COUPLE ni old one 1968.itafute.
 
kama dume nitampeleka kimboka kama binti nitajitolea kujaza nafasi ya aliyemuacha
Zaidi ya maneno ya kumtia moyo kwamba yataisha au atapata mwingine bora au mwache atarudi.

Je ni activities gani unafanya rafiki yako akiwa yupo kwenye nyakati ngumu za mawazo ya kuachwa?

Utamwacha ajinyonge?
Au awe mlevi?
Ajifungie ndani na kulia kila siku?
Au aache kazi na kusafiri mbali?
Amuwinde ex wake kutaka kumuua?
Au aanze kutembea na wapenzi mbalimbali?

Wana jf utafanya nn kwa rafiki/mshkaji/swaiba yule mloshibana?
 
Ntaenda nae kanisani,nitakua nae kila nipatapo muda na kumwombea

Ni kweli huko pia ni sehemu ya faraja.Mtu aliyeachwa huwa hatabiriki ni vema kuwa nae.Ila unapomwonea huruma sana atahisi kuwa amepungukiwa na hapo mawazo humuathiri.
 
Mpe pole mara moja yatosha na si kila saa ukikutana nae unamwambia pole asee na wewe kujifanya unakaa kihuruma huruma hapana...Kwanza muonyeshe kilichomkuta yeye ni sehemu ya maisha yetu na yeye si wakwanza mpe mifano ya watu ambao hata yeye anawajua waliokuwa na heshima kubwa kwenye jamii ila walitengana na maisha yao yanaendelea..Cha msingi nikumsisitiza yeye kumsahau huyu partner wake na maisha hayanabudi kuendelea..Ushauri huu nadhani utakuwa applicable kwa Me sana sana...Ke dah wanataka mda sana wa kuwafuta machozi walie tena uwafute..
 
Na wewe achika tuu labda itasaidia kumpa moyo kuona kumbe ni kawaida....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom