Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Jamani mi mzima wa afya isipokuwa tu nimefuliaaaa! Nirushieni vocha niwape ubuyuu. Back To Topic! Dogo huyu, ni dogo wangu...
15 Reactions
86 Replies
14K Views
Wasalaam raia, Nimerudi tena. Leo nakemea hii tabia ya watu..hususan hawa wadada wa mjini wanaopenda kufosi fosi mambo huku wakati hawana nyenzo. Mtu umenyuka pamba zako kali....unaenda zako...
14 Reactions
148 Replies
11K Views
Hili swali nimekuwa nikijiuliza kwa kipindi kirefu sasa je kuna tofauti gani kati ya crush na Love at first sight? Natumai kuna wajuzi humu MMU mmeshawahi ku experience hizo situation mbili tajwa...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Hii haijalishi wewe umeokoka au swala tano. Ukifanya ngono na umpendae muda muafaka, sehemu muafaka na kwenye eneo muafaka unajisikiaje kwa wale waliobahatika kufanya hivyo?
3 Reactions
77 Replies
11K Views
Ndoa hazidumu kwa sababu kabla ya kufunga ndoa watu wanakuwa Obssesed na Wedding Ceremony Imaginations, bila kujua Ndoa inaenda mbali zaidi! Kuna Ndoa na kuna Harusi...Wengi mnapenda zaidi...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Huwa natazama jinsi wanawake wanavyoumiza kichwa kutafuta attention ya wanaume mpaka nawaonea huruma. . Kwa uhalisia hawajui Tunachokitafuta. ..kama kuna mwanamke aliyegundua wanaume tunataka...
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Kuna kitu nimekigundua huku nje kama mfuatiliaji wa Insta za watu. Ukweli ni kwamba mumeo akichepuka watu wooooote tutajua kasoro we...
11 Reactions
89 Replies
17K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kwa hio na diplomasia yote nliotumia bado mnasita kufungua wallet? Mpka mkubwa mwenzenu...
4 Reactions
46 Replies
10K Views
Yapo makabila yenye kuamini sana katika mila na inasemekana mtu asipofanya au kufanyiwa mila mambo yake yaweza enda kombo. Yapo makabila mtoto akizaliwa kama ni mjini lazima atapelekwa kwa mababu...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!! Lile party la mwakaaaaa! Party la kukata na Mundu JF Party of the year kama kawaida kama dawa litakujia November Mwanzoni...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Napenda kuwapa pole kwa wote ambao huenda mchana huu unawapita Deshi bila kula. Kikubwa ni kutaka mawazo yenu kuhusu huyu mke wangu. Ni mwaka wa 3 sasa anafanya biashara ya nje yaani Kenya na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Tumelelewa katika mazingira tofauti. Tunalea na wengine tuna mpango wa kulea ila wengi tunalea watoto wetu bila mfumo mzuri utakaowaongoza katika maisha yao. Mzazi, kama lugha unayoitumia kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama inavyotolewa elimu namna ya kumpa huduma ya kwanza kwa mtu aliyepatwa na ajari au kung'atwa na nyoka na mimi leo naomba kupewa elimu namna ya kumuokoa ndugu yangu anayeonyesha dalili za wazi...
3 Reactions
100 Replies
19K Views
habarini...natongozwa na demu wa rafiki yangu sana...naona nakaribia kumpenda the same...itakuaje jamaa akijua? au nimchunie?
2 Reactions
45 Replies
8K Views
mwaka jana mwishoni kuna msichana nilianza nae uhusiano wa kimapenzi japo kua rafiki zangu karibu wote hawakuniunga mkono mimi kua na yule dada. nami nilichukulia kawaida tu ni maoni tu ambayo...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Two friends were walking through the desert During some point of the Journey they had an Argument, and one friend Slapped the other one In the face. *** The one who got...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Nihivi. Nina anko wangu aliniita nije uku mwanza kumsaidia biashara zake kwa makubaliano ya kunilipa kiasi fulan kila mwezi. Nilishukia kwake nilimkuta ana sofa mbili kitanda na jaba LA maji tu...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu. Baada ya kumaliza form four nilibahatika kupata mtoto wa kiume na student mate mwenzangu. Baada ya kujifungua ndo mkataba wa baba yake kufanya kazi hapa nchini ukawa umeisha hivyo...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Peace been upon you all, Kama binadamu tuna mipaka ya kimaadili kulingana na mila na desturi za kiafrika. Lakini kubwa zaidi kulingana na imani zetu. Tumeingia karne na millennium nyingine yenye...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom