solja njeree
Senior Member
- Aug 27, 2013
- 175
- 95
Nihivi. Nina anko wangu aliniita nije uku mwanza kumsaidia biashara zake kwa makubaliano ya kunilipa kiasi fulan kila mwezi. Nilishukia kwake nilimkuta ana sofa mbili kitanda na jaba LA maji tu. Akaniambia nikae hapo geto yy ataondoka nikakubali hela nilio kua napata kila mwezi nilinunua aset za ndani mwaka wapili umeisha anskuja anafunga hesabu anaondoka mwaka wa NNE sasa nikamwambia aje afanye hesabu zake nimkabiz kazi mm nataka kupumzika kidogo sikutaka kuendelea kufanya nae kazi maana sikuana kubaliana nae baadh ya vitu.
Kweli akaja geto pale nilisha hama nikapanga nyumba nzima maana nisha kua nimenunua vitu vingi vya ndani . akasema nitakaa hapa na we we nikasema poa. Tumekaa nikatafta kitu kingine nifanye nje na kwake nikapata ikawa tunakutana tu jioni nyumbani. Juzi kuna feniture yangu moja sikuiona nikaikuta kwa jirani tena iko nje nikaichukua nikairudisha ndani jirani kaja moto akaniambia aliuziwa na anko . nikamwambia anko mbona unauza bila kunijulisha?
Anasema vitu vyote ni vyake mm sikuja na kitu anadai siwezi kuondoa kitu hela zote nilizo nunulia vitu nizake navitu nivyake. Nikashangaa maana mshahara wangu nilikua napata je sikua naufanyia kitu haelewi. Hesabu alikua anafunga na alipo kuja alishinda siku mbili akiangalia hesabu kama ziko sawa . mapolisi wote APA nimarafki zake yan ata nikiwaza kwenda uko nachoka . hapa nimebak sina kitu nanina vitu vingi tuu APA ndani. Navile vyake alivyo viacha vipo vyote.
Naombeni msaada kama kuna mtu wa usala umu pia naomba msaada wako.
Kweli akaja geto pale nilisha hama nikapanga nyumba nzima maana nisha kua nimenunua vitu vingi vya ndani . akasema nitakaa hapa na we we nikasema poa. Tumekaa nikatafta kitu kingine nifanye nje na kwake nikapata ikawa tunakutana tu jioni nyumbani. Juzi kuna feniture yangu moja sikuiona nikaikuta kwa jirani tena iko nje nikaichukua nikairudisha ndani jirani kaja moto akaniambia aliuziwa na anko . nikamwambia anko mbona unauza bila kunijulisha?
Anasema vitu vyote ni vyake mm sikuja na kitu anadai siwezi kuondoa kitu hela zote nilizo nunulia vitu nizake navitu nivyake. Nikashangaa maana mshahara wangu nilikua napata je sikua naufanyia kitu haelewi. Hesabu alikua anafunga na alipo kuja alishinda siku mbili akiangalia hesabu kama ziko sawa . mapolisi wote APA nimarafki zake yan ata nikiwaza kwenda uko nachoka . hapa nimebak sina kitu nanina vitu vingi tuu APA ndani. Navile vyake alivyo viacha vipo vyote.
Naombeni msaada kama kuna mtu wa usala umu pia naomba msaada wako.