Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Hii haijalishi wewe umeokoka au swala tano. Ukifanya ngono na umpendae muda muafaka, sehemu muafaka na kwenye eneo muafaka unajisikiaje kwa wale waliobahatika kufanya hivyo?
Yote nakubali ni mazuri ingawa hilo la kukata gogo inategemeana gogo lenyewe ni gumu kiasi gani. But all in all, hilo la Dumelambegu acha kabisa ni mwisho wa reli. Baadhi ya watu akili hufyatuka kabisa na kurejea baada ya dakika kadhaa au saa nzima kabisa.Kulala je?
Kula nako je?
Na wapo watakaokuambia kuwa kukata gogo nako kuna raha yake ambayo haielezeki...
Absolutely true.kuna tofauti kubwa kati ya ngono na tendo la ndoa, kutumia neno 'ngono' kwangu si vema unapozungumzia tendo lililo barikiwa la 'ndoa'.
KU-ROMANCE NA UMPENDAE INAONGOZA.
Kulala je?
Kula nako je?
Na wapo watakaokuambia kuwa kukata gogo nako kuna raha yake ambayo haielezeki...
Hii haijalishi wewe umeokoka au swala tano. Ukifanya ngono na umpendae muda muafaka, sehemu muafaka na kwenye eneo muafaka unajisikiaje kwa wale waliobahatika kufanya hivyo?
Mada ya kiume hii ngoja nisepe