Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,244
- 122,340
Wasalaam raia,
Nimerudi tena. Leo nakemea hii tabia ya watu..hususan hawa wadada wa mjini wanaopenda kufosi fosi mambo huku wakati hawana nyenzo.
Mtu umenyuka pamba zako kali....unaenda zako kula upepo mwanana wa bahari ya Hindi sehemu kama Mbalamwezi.
Unakutana na mchuchu mnaanza kupiga stori. Sasa, kwa vile labda we si mla vumbi, unakuwa umewiva kuliko wala vumbi walio wengi. Ukweli ni kwamba wala vumbi wengi wamesinyaa sana. Wengine hata kwapa zao hazijawahi kukutana na deodorant achilia mbali antiperspirant deodorant. Teh teh teh....
Sasa wewe hapo umeenda na kapelo yako kali...labda ya Jumpman 23....una iPod yako na PowerBeats2 Wireless za Beats By Dre.
Mnapiga stori za hapa na pale...mara unastukia mwenzio anaanza kukupiga vizinga...sio vya hela bali vya vitu ulivyonavyo.
'Ngabu naomba kofia....kofia yako nzuri kweli nimeipenda'....'NN naomba headphones zako..'.....mara 'NN umepaka pafyumu gani...naiomba'
Huwa nina jibu moja tu kwa vidada vya namna hii....'hapana'. Manake vimezidi kuendekeza dhiki....khaaa.....yaani hata mshipa wa aibu havina?
Kutwa kucha kuomba omba tu....kwa nini visiridhike na mitumba na pamba zao feki za Kariakoo?
Nyie wachuchu acheni kuendekeza dhiki. Mnajishusha sana.
And just like that....deuces!!!
Nimerudi tena. Leo nakemea hii tabia ya watu..hususan hawa wadada wa mjini wanaopenda kufosi fosi mambo huku wakati hawana nyenzo.
Mtu umenyuka pamba zako kali....unaenda zako kula upepo mwanana wa bahari ya Hindi sehemu kama Mbalamwezi.
Unakutana na mchuchu mnaanza kupiga stori. Sasa, kwa vile labda we si mla vumbi, unakuwa umewiva kuliko wala vumbi walio wengi. Ukweli ni kwamba wala vumbi wengi wamesinyaa sana. Wengine hata kwapa zao hazijawahi kukutana na deodorant achilia mbali antiperspirant deodorant. Teh teh teh....
Sasa wewe hapo umeenda na kapelo yako kali...labda ya Jumpman 23....una iPod yako na PowerBeats2 Wireless za Beats By Dre.
Mnapiga stori za hapa na pale...mara unastukia mwenzio anaanza kukupiga vizinga...sio vya hela bali vya vitu ulivyonavyo.
'Ngabu naomba kofia....kofia yako nzuri kweli nimeipenda'....'NN naomba headphones zako..'.....mara 'NN umepaka pafyumu gani...naiomba'
Huwa nina jibu moja tu kwa vidada vya namna hii....'hapana'. Manake vimezidi kuendekeza dhiki....khaaa.....yaani hata mshipa wa aibu havina?
Kutwa kucha kuomba omba tu....kwa nini visiridhike na mitumba na pamba zao feki za Kariakoo?
Nyie wachuchu acheni kuendekeza dhiki. Mnajishusha sana.
And just like that....deuces!!!