Nini unachojivunia kwa malezi uliyopitia?

Nini unachojivunia kwa malezi uliyopitia?

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,088
Reaction score
2,174
Tumelelewa katika mazingira tofauti. Tunalea na wengine tuna mpango wa kulea ila wengi tunalea watoto wetu bila mfumo mzuri utakaowaongoza katika maisha yao.

  • Mzazi, kama lugha unayoitumia kwa mwanao ni matusi ujue unacho cha kumfunza.
  • Tabia za kike na kiume ni zipi na humuoneshi mipaka. Jua unacho cha kumfunza.
  • Humsikilizi na kuheshimu mawazo yake. Jua unacho cha kumfunza.
  • Uko bize na hujali kitu katika malezi yake. Jua umekosa cha kumfunza ila yuko anayemfunza.
Tuwe makini na housegirl/boy

Malezi uliyopitia yameathiri vipi mahusiano yako kijamii na maisha kiujumla?
 
mkuu hilo chini ni tangazo sni kama wahisani wa ujumbe

BANGO
 
Heading ya mada na content iliyopo ni vitu viwili tofauti.. Rejea uandishi katika somo la lugha (kiswahili/kiingereza) darasa la sita kuja kidato..

Ukishaweza kuandika kitu kinachooana na kuleta mantiki usisahau kunitag nije nipitie na kuacha neno.
 
Heading ya mada na content iliyopo ni vitu viwili tofauti.. Rejea uandishi katika somo la lugha (kiswahili/kiingereza) darasa la sita kuja kidato..

Ukishaweza kuandika kitu kinachooana na kuleta mantiki usisahau kunitag nije nipitie na kuacha neno.
sawa fundichupi
 
Back
Top Bottom