Nashindwa kumuelewa jirani yangu na ananifanya nisiwe comfortable.... Nyumba ninayoishi tupo watano kila mtu na kwake anaijtegemea wote ni vijana na hakuna mwenye familia. Tupo wadada wawili tu...
Unajua kabisa tena fika kuwa umeondoka kwenu kuja kuungana na Mimi ili tuendeleze Ukoo na tupate faraja lakini matokeo yake sasa umekuja kuishi na Mimi ni Karaha tupu.
Hasira nilizonazo naomba...
Ni dhahiri kabla ya kuoa tunakuwa na rekodi za kutofautiana za mahusiano ya kimapenzi tunayoyafuta ili kuanza mahusiano rasmi ya mume na mke ama ndoa.
Swali kubwa linalojitokeza baada ya kuoa...
Tangu nakua niligundua kuwa napendwa sana na watoto wadogo.
Yaani hata yule mtoto anayependa kukataa watu mi nikimbeba anafurahi,au kama alikuwa analia nikimbeba analia ,nikipita sehemu yenye...
Habar wana jf poleni na ugumu wa maisha. Niende moja moja kwenye kiini.
Ni kwamba kwa wakati uliopo yaani miaka ya usasa imeibuka vita kali kati ya me na ke hapa tz.
Ugomvi mkubwa kati ya...
KEEP YOUR HUSBAND
.
EVERY WOMAN SHOULD READ THESE 30 RULES FOR GODLY WOMEN-----------
1). Never raise your voice for any reason to your husband. Its a sign of disrespect.(Prov 15v1)
2). Don't...
Kuna msemo usemao, mama ni mama na mtoto hakui kwa mama yake. Ni sawa ila tuje kwenye hoja.
Kuna mabinti wakubwa hadi miaka 30 ila wanapenda kufuatana sana na mama zao hasa kwenye misherehe...
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp...
Wanaume wengi wamekua wakisita kuoa wanawake waliowazidi umri, lakini napenda nitoe maelezo mafupi yanayo nifanya mimi nisione hilo kuwa ni tatizo.
Mara nyingi huwa tunaoa wanawake tunaowapenda...
Nilisoma thread ya #wrightbrian with heading"Ile naingia tu, jamaa anapiga kofi wowowo la mke wangu, huku wakifurahi"
I asked my self like how will you(mwanamke) feel when you found /caught your...
Kama ulikuwa uwafahamu vizuri hawa ndugu zetu, mama zetu.Usitenge muda kuwafahamu, sababu utaweza kuwa chizi, pesa wananusa kama sisimizi anavyo nusa sukari ipo wapi ukiwa na pesa ya kutosha...
Eh mzungu, nakujia kwako jmosi hii tulivu, baada ya kugonga kitimoto roast ya ukweli, ingawa kuna member humu anajitahidi kweli na mada zake za kuponda mdudu huyu, ingawa ulishafanya tafiti za...
Wakuu nimempa mimba mtoto wa watu. kutokana nampenda sana huyu binti nikaona isiwe tabu nifanye process za kufunga nae pingu za maisha japo ilikuwa ngumu kwa wazazi wake kukubali moja kwa moja...
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea...
Habarini wana jukwaa, ama baada ya Salam ningependa kuwashirikisha kinachoufukuta moyo wangu ikiwa ni mara yangu ya kwanza kabisa kwani mara zote nimekua msomaji mzuri na mchangiaji tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.