lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,484
Wanaume wengi wamekua wakisita kuoa wanawake waliowazidi umri, lakini napenda nitoe maelezo mafupi yanayo nifanya mimi nisione hilo kuwa ni tatizo.
Mara nyingi huwa tunaoa wanawake tunaowapenda. Hivyo unaweza ukakutana na mdada kwa mara ya kwanza akakuvutia kwa jinsi alivyo, kitu cha kwanza huwa ni pengine kutaka mahusiano lakini sio kujua umri, unaweza ukampata na mkawa nae kwa miezi kadhaa bila kuulizana umri.
Hoja nyingine ni kuwa kuna wadada wengine unakuta ana umbo zuri ambalo huonekana kama bado ana miaka 18 wakati kikweli ana 25 wakati huohuo mvulana wake ana umbo kubwa utadhani ana miaka 35 wakati kiukweli ana miaka 22.
Sasa hapa kuna ubaya gani kuoa mdada wa 25 baby face wakati mkaka una 22?
Afu mdada akikuzidi ni mtamu sana kitandani, anaheshima, ametulia, anajua majukumu yake, anajua ku care.
Mada hii simpigii debe mtu yeyote kwa sababu kila mdada ni mkubwa kwa mkaka fulani.
Mara nyingi huwa tunaoa wanawake tunaowapenda. Hivyo unaweza ukakutana na mdada kwa mara ya kwanza akakuvutia kwa jinsi alivyo, kitu cha kwanza huwa ni pengine kutaka mahusiano lakini sio kujua umri, unaweza ukampata na mkawa nae kwa miezi kadhaa bila kuulizana umri.
Hoja nyingine ni kuwa kuna wadada wengine unakuta ana umbo zuri ambalo huonekana kama bado ana miaka 18 wakati kikweli ana 25 wakati huohuo mvulana wake ana umbo kubwa utadhani ana miaka 35 wakati kiukweli ana miaka 22.
Sasa hapa kuna ubaya gani kuoa mdada wa 25 baby face wakati mkaka una 22?
Afu mdada akikuzidi ni mtamu sana kitandani, anaheshima, ametulia, anajua majukumu yake, anajua ku care.
Mada hii simpigii debe mtu yeyote kwa sababu kila mdada ni mkubwa kwa mkaka fulani.