Hivi nitajuaje kama mpenzi wangu ametoka kunisaliti?

lift gharama

Senior Member
Apr 11, 2015
107
65
Wana jamvi salaam

Najua huku kuna wataalam wa saikolojia. Hivi ntajuaje kama mpz wangu ametoka kuchapana kugegedana nikimuangalia tu kwa macho. Je kuna ishara fulani huwa inajionyesha kuwa ametoka kupiga show? Karibu kwa wenye ujuzi na uzoefu wa mambo hayo
 
Bila kukuficha kama ni mwanake mara chache unaweza kujua kama mwanamme hujui hasa hawa wanaume wa dot com niwakavu kupitiliza,nikupe kisa kaka yangu alifakua na msichana tangu asubuhi hotel mke anajua akampigia around 6pm
akamwambia najua unachepuka lakini ukija home ujipange kuna bao 3-5 zangu na uki shindwa ntajua wazi kama umechepuka, bwana yule alipokuja alitoa ya mwaka alibeba vijiwe wakati kaekewa chakula akavitia wacha aanze kugomba
ooh mambo gani haya chakula napikiwa na Dada wakati nna mke faida mke nini bwana yule yakamtoka na nuhu na firauni
mke uso ukawa mdogo bwana yule akalala bila mechi,yani nilisema wanaume wana mbinu nimeona kwa macho yangu
nikasema huenda nafanyiwa hivi hivi sijijui.......mungu atunusuru..
 
Bila kukuficha kama ni mwanake mara chache unaweza kujua kama mwanamme hujui hasa hawa wanaume wa dot com niwakavu kupitiliza,nikupe kisa kaka yangu alifakua na msichana tangu asubuhi hotel mke anajua akampigia around 6pm
akamwambia najua unachepuka lakini ukija home ujipange kuna bao 3-5 zangu na uki shindwa ntajua wazi kama umechepuka, bwana yule alipokuja alitoa ya mwaka alibeba vijiwe wakati kaekewa chakula akavitia wacha aanze kugomba
ooh mambo gani haya chakula napikiwa na Dada wakati nna mke faida mke nini bwana yule yakamtoka na nuhu na firauni
mke uso ukawa mdogo bwana yule akalala bila mechi,yani nilisema wanaume wana mbinu nimeona kwa macho yangu
nikasema huenda nafanyiwa hivi hivi sijijui.......mungu atunusuru..
Jamaa is very clever .Mmambo gani ya kutoana povu kwa kukomoana.
 
Jamaa is very clever .Mmambo gani ya kutoana povu kwa kukomoana.
Sijapenda alivyo fanya nilimuita kwangu nikamkanya kua its wrong,mkeo unae why unaenda kutafuta michepuko?
nimemuliza kosa nini mpaka unatafuta michepuko anasema kosa lake mara leo ukirudi home mapema yeye anakwenda harusini,mara akirudi harusini kachoka, mara sijui Taarab,mara sijui kikao cha harusi ya mtoto wa Haloo,sasa kusema nimechoka kuzaa staki tena watoto 6 wananitosha aniache yeye yake na abaki nayo, kwenda kwa wifi kumwambia siwezi nabaki nayatizama..
 
Bila kukuficha kama ni mwanake mara chache unaweza kujua kama mwanamme hujui hasa hawa wanaume wa dot com niwakavu kupitiliza,nikupe kisa kaka yangu alifakua na msichana tangu asubuhi hotel mke anajua akampigia around 6pm
akamwambia najua unachepuka lakini ukija home ujipange kuna bao 3-5 zangu na uki shindwa ntajua wazi kama umechepuka, bwana yule alipokuja alitoa ya mwaka alibeba vijiwe wakati kaekewa chakula akavitia wacha aanze kugomba
ooh mambo gani haya chakula napikiwa na Dada wakati nna mke faida mke nini bwana yule yakamtoka na nuhu na firauni
mke uso ukawa mdogo bwana yule akalala bila mechi,yani nilisema wanaume wana mbinu nimeona kwa macho yangu
nikasema huenda nafanyiwa hivi hivi sijijui.......mungu atunusuru..
Ata sikufanyii hivyo mwaya...!
 
Mi nnavyojua mtu ambae nafsi inamsuta ...akitoka kucheat utashangaa anaongea ongea sanaa kuliko kawaida vijichekesho tele. Mwenye uso mkavu ndo atajitia kachoka au ana hasira sana so hataki bughudha. Ina apply kwa wote hii kitu.
 
Vijana hamtaa mfikishe miaka zaidi ya 45 tena! Huko ni kujitafutia presure isiyokuwa ya lazma + maisha yenyewe Magufuli kabana hela mitaana hela imekuwa ngumu! Ujinga first class kumchunguza mkeo/mpenzi wako hiyo k huwezi kuimaliza mwenyewe hata wale kijiji kizima utamu unabaki palepale! Kama humwamini achana nae WTF
 
Vijana hamtaa mfikishe miaka zaidi ya 45 tena! Huko ni kujitafutia presure isiyokuwa ya lazma + maisha yenyewe Magufuli kabana hela mitaana hela imekuwa ngumu! Ujinga first class kumchunguza mkeo/mpenzi wako hiyo k huwezi kuimaliza mwenyewe hata wale kijiji kizima utamu unabaki palepale! Kama humwamini achana nae WTF
;);)
 
Back
Top Bottom