Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kama kichwa husika apo juu..... Katika pita pita zangu nilikutana na dada mmoja ambae tulielewana sana.......kama tulivyo binadamu tukaanza kubadilishana mawazo ya hapa na pale..... Ikafika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu mwanamke nilikua na mahusiano nae kwa miaka 2, nikampenda kweli huyu mtoto. Hakika ni mrembo kweli. Baadae akaniavha mwenyewe, bila ugomvi wowote bila shida akasema hana hisia na mimi...
13 Reactions
49 Replies
8K Views
Week iliyopita amekufa tajiri maraarufu mzee Mengi ila nimeshangaa kuona tangu afe watu wamekuwa wakimsema vibaya sana mke wake ambae aliwahi kuwa miss tz sijui msanii sijui 🤷🤷Mimi sikuwahi...
6 Reactions
72 Replies
5K Views
Ndugu zangu natumai mu wazima Nimekuwa kwenye uhusiano na binti flani, kiukweli huyu binti nimempenda mapenzi ya dhati yaani real love. Nimekuwa nae yeye peke yake tu yani kipindi chote...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Kuna binti yuko chuo second year hapa kwa makonda, nimempenda na nikatumia njia ya kawaida / naturality kwa miezi sita bila kukata tamaa nikiwa nampima ki aina .Huyu binti kwa mwezi huo...
6 Reactions
42 Replies
4K Views
Kama unajua na wewe una video uliyejirekodi Kama gwajima Basi ifute kwa sababu serikalini tukiagizwa tukufanyie uchunguzi tunakagua nyumba yako,chumba chako mpaka simu yako.tunanyonya kila kitu...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
habari wana jf napenda kuuliza kwa wanawake waishio na waume je hivi ni kweli huwa hamuumizwi mioyoni mwenu endapo mwanaume akawa anahudumia vyema familia yake yani...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Tusaidieni wanawake, kwanini mnapenda kutoa siri za mausiano ya kwako na mwanamme wako kwa watu ambao hawajui mausiano yenu Bali kwa kusikia. Mara nyingi uchangia kuvunjika kwa mausiano maana Leo...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Asalam alykum Mimi ni kijana (29) niko Arusha muajiriwa nahitaji mchumba wa kuoa. SIFA 1. Muslim 2. Umri chini ya miaka 30 3. Unashughuri ya kukuingizia kipato Nichek pm serious
1 Reactions
0 Replies
805 Views
Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema.... "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka juu ya meza...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Eti ?? Tunalitatuaje hili jidubwana !???
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nimeambiwa "u ain't just acting like a man" hii ina maanisha nini ? anataka niweje ?
0 Reactions
83 Replies
6K Views
Heshima zenu wana JF, wakubwa kwa wadogo. Ni matumaini yangu kuwa mko salama wote kabisa na wenye afya njema, na kama kuna mtu ambaye afya yake imeyumba kidogo basi Mola akutangulie ili uweze...
4 Reactions
109 Replies
7K Views
Huyu dada nlidate naye miaka kadhaa iliyopita kabla sijaoa.kipindi nadate naye kumbe nlimkuta na jamaa then akamwacha akawa nami.mi sikujua. Baada tu ya miezi kama tisa hivi akanambia ana mimba...
4 Reactions
132 Replies
13K Views
Nimekuja mzee wa kuomba ushauri baada ya kunikuta huku mtaani kwetu, wiki moja sasa tangu huyu mama nimekuwa nawe kama Kiben10 wake. Sasa juzi nimekuwa nyumbani kwake kama mwalikwa ila usiku...
2 Reactions
102 Replies
19K Views
Wakuu Salam, Nina marafiki zangu kadhaa walioamua kuondoka katika lililokuwa chama letu la mabachala. Baadhi ya tabia wanazo zionesha huwezi kushangaa kwani kawaida. Mfano kutokuhudhuria maeneo...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Sisi wanaume asilimia kubwa Ukipata mwanamke ambaye, anakuombea kwa Mungu, anakutii kama mmewe, anapendeza yupo smart havai nguo kama malaya, anajua kupika freshi. HAKIKA UYO MWANAUME KWANZA...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Et niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom