Kama wewe mbabe chagua hapa

Kama wewe mbabe chagua hapa

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
jes.png
 
"mtoto wa kiume pagawa na kazi sio chura"
Nay wa Mitego.
 
Kuchagua hapo kunahusiana vipi na ubabe??

Ama huko kwenu neno 'mbabe' lina maana tofauti?
joanah ukiwa mbabe una uwezo wa kupata kilicho ndani ya uwezo wa ubabe wako kwa nguvu yoyote ile utakayo itumia, sasa hapa kumwambia mtu kama yeye mbabe mana yake anaweza akawa na uwezo wa kupata kitu hicho kwa nguvu zozote zile azijuazo yeye na akafanikiwa licha ya kwamba anaweza pia akatumia nguvu hizo na asifanikiwe ila atakuwa amejaribu.
 
joanah ukiwa mbabe una uwezo wa kupata kilicho ndani ya uwezo wa ubabe wako kwa nguvu yoyote ile utakayo itumia, sasa hapa kumwambia mtu kama yeye mbabe mana yake anaweza akawa na uwezo wa kupata kitu hicho kwa nguvu zozote zile azijuazo yeye na akafanikiwa licha ya kwamba anaweza pia akatumia nguvu hizo na asifanikiwe ila atakuwa amejaribu.

Asante Mung Chris ...nimekuelewa sana
 
Halafu dada zetu hawachagui namba zao ili tuwajue wakoje
 
Yeyote hapo unaokota unapiga mambo!

Mwanaume aliyekamilika akipangiwa mstari watoto wazuri wa kike 100 akaambiwa chagua mmoja ambaye wewe unaona ni mzuri kushida wote hata akimpata ataondoka huku moyoni akiwawaza wale 99 na akilaumu aliyempa offer kwanini hakumruhusu achukue angalao kumi na still akiruhusiwa atatamani wale 90 waliobaki.

Ni kusema nyama ni nyama kasoro ni ladha tu.
 
Back
Top Bottom