Weka namba zake na picha humu ndio tutajua cha kukushaurEt niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya mambo mengine nataka nianze kufanya mambo ya msingi
Bass tumie busara kunitumia namba zake na picha ndio nitapata stater ya kukushaurAaahh iyo kudhalilishana sasa kama yuko humu mpaka ajue kama ni yeye
Acha ujinga wwEt niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya mambo mengine nataka nianze kufanya mambo ya msingi
Kabsaa kwanza utakuwa bize na kusaka pesa tuuKwaiyo nikitafuta pesa ntaweza kuachana nae?
Nipasie namba yake PM mkuu ikifika mpaka kesho kutwa hajakuacha njoo hapa nichaneEt niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya mambo mengine nataka nianze kufanya mambo ya msingi
Nipasie ndugu yako hapa hii mvua ya dar inaninyanyasa sana
Kwa nini usimhusishe kwenye hayo mambo? Unajuaje labda anaweza kukusupport vizuri.Et niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya mambo mengine nataka nianze kufanya mambo ya msingi
Et niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya mambo mengine nataka nianze kufanya mambo ya msingi