5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Ndugu zangu natumai mu wazima
Nimekuwa kwenye uhusiano na binti flani, kiukweli huyu binti nimempenda mapenzi ya dhati yaani real love.
Nimekuwa nae yeye peke yake tu yani kipindi chote nimempenda yeye tu bila kuchepuka. Nimempenda sana kiukweli hata na yeye alijua kuwa nampenda sana na niko nae yeye pekee.
Sasa nilipata maneno kutoka kwa mama mmoja, aliniita na kunieleza kwamba binti huyo si mzuri wa tabia, kwamba ni malaya. Kiukweli nilianza kufuatilia mienendo ya binti ikaonekana kampani yake kubwa ni wanaume.
Nikamuuliza kwanini akanijibu eti yeye anapenda sana kampani ya wanaume kwakuwa hawana majungu kama wanawake.
Binti mwenyewe yuko kwa wazazi wake na amehitimu mwaka jana stashahada ya statistics. Kiukweli mimi ninampenda sana lakini najifikiria kumuacha.
Wakuu nisaidieni njia nifanyeje ili nimsahau kabisa, kwani nahitaji kumuacha ingali bado nampenda. Nataka kumuacha kwakuwa nimehisi atanisumbua na stress siku za usoni maana kila nikimkuta na mwanaume anadai ni rafiki yake, na mimi hali hiyo naona sitaiweza kwakweli.
Ndugu zangu nifanyeje ili nimsahau kabisa? Njia gani watu hufanya ili kumuacha mtu ingali bado unampenda?
Maana kuna mda najitahidi nisimpigie simu wala text lakini nnashindwa kumudu nampigia. Akitaka tuonane anakuja kwangu tunaongea vizuri tu ila mimi moyo unataka kumuacha ila nimeshindwa.
Mawazo yenu wadau
Nimekuwa kwenye uhusiano na binti flani, kiukweli huyu binti nimempenda mapenzi ya dhati yaani real love.
Nimekuwa nae yeye peke yake tu yani kipindi chote nimempenda yeye tu bila kuchepuka. Nimempenda sana kiukweli hata na yeye alijua kuwa nampenda sana na niko nae yeye pekee.
Sasa nilipata maneno kutoka kwa mama mmoja, aliniita na kunieleza kwamba binti huyo si mzuri wa tabia, kwamba ni malaya. Kiukweli nilianza kufuatilia mienendo ya binti ikaonekana kampani yake kubwa ni wanaume.
Nikamuuliza kwanini akanijibu eti yeye anapenda sana kampani ya wanaume kwakuwa hawana majungu kama wanawake.
Binti mwenyewe yuko kwa wazazi wake na amehitimu mwaka jana stashahada ya statistics. Kiukweli mimi ninampenda sana lakini najifikiria kumuacha.
Wakuu nisaidieni njia nifanyeje ili nimsahau kabisa, kwani nahitaji kumuacha ingali bado nampenda. Nataka kumuacha kwakuwa nimehisi atanisumbua na stress siku za usoni maana kila nikimkuta na mwanaume anadai ni rafiki yake, na mimi hali hiyo naona sitaiweza kwakweli.
Ndugu zangu nifanyeje ili nimsahau kabisa? Njia gani watu hufanya ili kumuacha mtu ingali bado unampenda?
Maana kuna mda najitahidi nisimpigie simu wala text lakini nnashindwa kumudu nampigia. Akitaka tuonane anakuja kwangu tunaongea vizuri tu ila mimi moyo unataka kumuacha ila nimeshindwa.
Mawazo yenu wadau