Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 362
Tusaidieni wanawake, kwanini mnapenda kutoa siri za mausiano ya kwako na mwanamme wako kwa watu ambao hawajui mausiano yenu Bali kwa kusikia.
Mara nyingi uchangia kuvunjika kwa mausiano maana Leo ulikua na tabia hizi kesho unakua na nyingine kutokana na ushauri wa rafiki zenu.
Unakuta mdada kaishaumizwa Mara kibao kila akikutana na mwanamme mwingine anaona kama walewale, kunawengine mwanamme wanakua na uvumilia ila uvumilivu ukiwashinda wanasepa na kunawale hawawezi vumilia kidogo tu anasepa.
Wanawake badilikeni? Hivi ndio sababu kubwa kwa kuachwa kwenu na wanaume.
Utajiremba kila urembo, utavaa kila mavazi, uko nzuri sana lakini kuna tabia mwanamme hawezi vumilia hata uweje atasepa, tena bora akuage kunawengine kimyakimya
Mara nyingi uchangia kuvunjika kwa mausiano maana Leo ulikua na tabia hizi kesho unakua na nyingine kutokana na ushauri wa rafiki zenu.
Unakuta mdada kaishaumizwa Mara kibao kila akikutana na mwanamme mwingine anaona kama walewale, kunawengine mwanamme wanakua na uvumilia ila uvumilivu ukiwashinda wanasepa na kunawale hawawezi vumilia kidogo tu anasepa.
Wanawake badilikeni? Hivi ndio sababu kubwa kwa kuachwa kwenu na wanaume.
Utajiremba kila urembo, utavaa kila mavazi, uko nzuri sana lakini kuna tabia mwanamme hawezi vumilia hata uweje atasepa, tena bora akuage kunawengine kimyakimya