Wadau eti wanasema humu mimi katoto kazuri nawadharau watu wazima.
Sasa mpaka miaka mingapi humu wapo watu wazima wanaodai wanadharauliwa?
Nautadharauliwaje kama nawewe kichwa hakisomi...
Salaam wakuu, habari za jioni.
Nimekaa nikatafakari nikaona nilete kisa changu hapa jukwaani ili tuwe makini na binadamu, japo mimi nimebaki sina mtoto tena, itawafaa hata wazazi wengine wenye...
Habari zenu wana jf
Leo nimeamua kushare na nyie kitu nilichofanyia utafiti kwa muda mrefu.
kitu chenyewe ni kuhusu wanawake wengi wa kihindi kuto kata vuzi,kwanza nilitembelea website kadhaa za...
Kufuatia suala la nguvu za kiume kuwa jambo kubwa hadi kutinga mjengoni kwa waheshimiwa, pia vyombo mbalimbali duniani vya habari yakiwemo mashirika ya BBC na DEUTSCHE WELLE yanaripoti kuwa...
Kwamba….
Atakuwa anakuchangamkia sana
Atakuwa anawasiliana nawe mno ama kwa Kuchati au Simu
Atakuwa nae anakuonyesha dalili zote kuwa anakuhitaji Kingono Siku hiyo japo ukimuomba hatokupa...
Maalumu kwenu kina mama, haijalishi ni single mom au uko kwenye ndoa, haijalishi mtoto uliyenaye ni mzima, anaumwa au alliishatangulia, haijalishi mtoto/watoto umewapata kwa njia gani, wewe si wa...
Hakuna SMS wanaume wanafuhia sana kama ile "BBY PIGA UONGEE NA BODABODA UMUELEKEZE"[emoji23][emoji23][emoji23]
em twambie wewe boy hii kitu huwa kweli au sikweli?
Haijalishi una umri gani lakini muda mwafaka wa msichana kuolewa ni kati ya miaka 20 hadi 25
Achana na dhana potofu za kimapenzi eti sijui hawajui nini?
Faida zake ni kama zifuatazo
1. Ndio...
Unaikumbukaje ile siku uliyoachwa na mpenzi wako umpendae?
Kwangu ilikuwa kama utani nilitumiwa Sms mida ya saa tano usiku kwamba Zero mimi na wewe basi sitaki tena tuwe wapenzi nilishapata mtu...
Kama hauna sababu ya kuoa basi hakuna haja ya kuwa na mpenzi na kumuhudumia kwa sababu kuhudumia Mpenzi ni gharama kuliko kwenda kununua huduma kila unapoitaji,
Ukiwa na mpenzi atataka kula...
Kumekuwa na Matangazo mengi juu ya kuwepo kwa dawa ya kuongeza urefu na kunenepesha maumbile ya siri ya wanaume. Pindi ukisikia au kuona matangazo haya inabidi uyapuuzie. Hakuna Mwanamke mwenye...
Habar za j pili wakuu...naanza hivi Kama huwez kumuacha mumeo au mkeo basi usimchunguze CMU yake Leo siku ya Tatu mke wa jirani yangu anaishi kwa sononeko moyoni....ishu ilikuwa hivi alichukuwa...
Ni swali nimeulizwa na Kijana mmoja hapa mtaani asubuhi hii.. ila nilivyo mwangalia alikua anatia huruma.
Ni kijana mzuri , mpole, mchapakazi anaejali watu wote. Alivyo niuliza swali hilo kwa...
Wanabodi habar za jumapili
Kuna topic hio leo wadau naombeni majibu hivi ni kweli usipotembea na wanawake tofauti tofauti kabla ya ndoa, bila fanya hivi utateseka sana kwenye ndoa,Kwasababu...
Wadau nimekaa sehemu nikawa naenjoy life lkn kuna namna nliyokuwa naona maisha ya binadamu mwenzangu nikashihudia wake za watu wakiwa na michepuko yao, pia nikaona Wababa wakiwa na michepuko yao...
Kama kichwa husika apo juu.....
Katika pita pita zangu nilikutana na dada mmoja ambae tulielewana sana.......kama tulivyo binadamu tukaanza kubadilishana mawazo ya hapa na pale.....
Ikafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.