Wakuu salaam. Katika pitapita zangu leo kwenye mitandao ya kijamii, asilimia kubwa ya watu waliotuma ujumbe wa "Happy Mother's Day" ni jinsia ya kike.
Je hii inadhihirisha kuwa watoto wa kike...
Inakuaje unakosa nguvu za kiume au umerogwa,Mimi hapa sijafanya mazoezi mwaka wa nne huu,navuta Sana sigara pakiti moja kila siku na ganja nyingi,pombe siku moja moja( mimi na pombe Ni vitu viwili...
Habari zenu wana JF? Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor).
Sifa za mke ambaye Napenda niwe nawe ni kama ifuatavyo:-...
Mimi natatizika sana na haya maneno au labda yote hapo sawa..bila MTU akitamka au nkilisoma katika ujumbe
Mfano utasikia "nipo njiani kwa gari nakuja"
Mimi kwa upande wangu hilo sio sawa...
Habari wanajf,
Natafuta mchumba wakike,
Mm nikijana mfanyabishara hvyo natafuta mchumba awe mfanyabishara pia au muajiliwa serikalin
Sifa zingine ni Kama ifuatavyo
1.umri usizidi miaka 26
2.Awe...
Igweeeeeeee Wanazengo!!!!!!
Jioni hii kulikuwa na shida sana ya usafiri. Wakati nimetoka kazini pale posta mpya kulikuwa na idadi kubwa sana ya watu wakingoja magari.
Nikaamua kuto kusubiria...
Habarini za usiku wanajamvi,
Straight to the matter at hand........
Sio sawa kabisa kuingia katika mahusiano na mtu na kumfanya atengeneze hisia za kukupenda wewe, kumfanya mtu aamini kuwa wewe...
Mwanamke akikupenda, lazima atakuvumilia kwa kila jambo, hadi kwa mambo yako yasiyofaa, yanayomkera, yanayomuumiza na kumtesa kihisia.
Kutokana na ufinyu wako wa akili, utaendelea kumtesa na...
Wizkid
I can never love one woman – Wizkid discloses
My Geography teacher once told me that “an African man is born to polygamous, not until the Whites came with their ‘lies’ that we can only...
Kwamba....
Mpaka sasa Tanzania nzima kuna Malaya ( Wanawake wanaofanya Biashara ya Kuuza Miili yao ) wapatao 155,000 na kwamba kati ya hao Mkoa unaoongoza kuwa na Wanaume wanaopenda Kununua...
habarini za asubuhi JF members?
jana nilikua napiga story na best angu mmoja kwa njia ya simu, akaniomba ushauri, yeye kamaliza chuo miaka mitatu iliyopita katika faani ya ualimu, lkn kulingana na...
Kabla sijamuoa mke wangu, nilimueleza udhaifu wangu wa kupenda tendo la ndoa kupita kiasi na alikubaliana na huo udhaifu wangu.
Alikuwa ananipa unyumba kadri nitakavyo kulingana na huo udhaifu...
Wadau kama upo serious kupata mawazo ya kibiashara au kimaisha au wewe ni mshauri wa kibiashara na maisha nataka kuanzisha group hata humu jf watu wasaidiane au wasaidike kutokana na mashauri au...
Wadau bila shaka hamjambo !
Kitaaluma mimi ni mwanasaikolojia (Degree) jina langu sio kubwa sana kwa maana ya kujulikana kwa watu wengi licha ya kufanya kazi hii kwa miaka 3 sasa.
Tatizo kubwa...
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili,na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure,je ikitokea mzalishaji umevuta pumzi ya mwisho, mzalishwaji atakuwa na...
Habari wanajf na heri ya pasaka.
Niende kwenye lengo la uzi...mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miezi 7 nina miaka 26. Miezi 3 iliyopita nilitengena na mzazi mwenzangu ambaye alishanitolea mahari...
Kama Mada inavyojieleza
Kuna binti alikua anadate na kakangu miaka ya 2003 mpaka kwenye 2006 hivi. Ina maana huyu binti alikua shemeji yangu na alitakiwa anitambue kama Mimi ni shemeji yake...
Inaumiza na kufunza.
Nmekopy kwenye group moja la WhatsApp
“Baba Karanga za Diamond! Baba nataka Karanga za Diamond!” Huu ni ule wakati ambao unasimama kwenye foleni na unatamani hata...
kikubwa siyo watu wote wanafaa kuwa marafiki hasa hasa unaodhania ama kuwachukulia kuwa ni watu wenye kujua maana ya maisha!! kikubwa siyo watu wote wnafaa kuwa marafiki wengine ni wanafiki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.