Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Leo insta haijajafuka sana naona wambea wengi bado wanaomboleza na wengine wako kwenye Mfungo, Baba Askofu gwaj ashukuru sana huu msiba wa taifa na hii Ramadhani la sivyo........! Cc Zero iQ
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Ni binti flani hivi wa kiislam kwa sasa amefunga lakini amenitafuta anasema jioni anataka nikamdinye baada ya kufuturu, Nilikuwa na muda sijakutana nae kwa sababu ya ubusy wa shughuli na ratiba...
5 Reactions
114 Replies
9K Views
Mambo zenu. Unajua nimekaa nikawaza sana kwanini yanatokea haya unajenga feelings kwa mtu hamjaonana na kweli unamadai kuwa unamwanaume ukiulizwa umewahi muona nope . Ila tunachatigi how jamani...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu hii imekaaje,sitosema nilipo maana inawezekana mhusika akawa humu, Kisa ni kwamba kuna dada mmoja wa kitaa,huwaga ananata sana kama super glue,naye yamemkuta,kuna mwana alimuotea akaahidi...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Shosti yangu alimpata mshikaji mmoja sharobaro. Yule mkaka kiukweli ana muonekano, hata ukipita nae barabarani kweli unaonekana una mpenzi. Shosti yangu alimbania penzi muda mrefu lakini baadae...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Nimedhamiria kwa dhati, natafuta mke wa kuoa na kuishi naye. Naitwa Hensley nina umri wa miaka 46, rangi yangu maji ya kunde, ni mnene kidogo, mrefu wastani, elimu yangu shahada Ua uzamivu, ni...
4 Reactions
63 Replies
14K Views
"Habari Wakuu, Kama mjuavyo jinsi maisha yalivyo magumu kwa sasa huku mtaani, lazima akili na maarifa yaongezeke. Nilimaliza chuo tangu 2015 ila mpaka sasa sijabahatika kupata kazi ya kueleweka...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Imekua ni kawaida kabisa kwa sisi waafrika hasa sisi watanzaniano kwamba mtu anapotaka kuoa ai kuolewa lazima atembeze bakuli ili kifanikisha shughuli yake. Je wenzetu wazungu nao wana utaratibu...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Mliowahi ku-date/kuoa/kuolewa na wazungu let's share changamoto mlizokutana nazo. Changamoto zao ni kama za partners weusi ama wao wana afadhali kidogo?
4 Reactions
191 Replies
45K Views
nimeiona hio kwenye page yao ig
0 Reactions
1 Replies
956 Views
MREJESHO!!!! Wadau Nashukuru sana kwa maombi yenu...jana Alhamisi jioni jamaa alimtumia hela mkewe laki mbili ili aache kwao na nyingine afanye nauli...amewatumia laki moja ili kuwaziba mdomo...
9 Reactions
134 Replies
12K Views
wakuu shikamoon? hivi, nyie mliioa, mmewezaje wezaje kuachana complete na wanawake wenu wengine wa zamani?maana napata wakati mgumu sana kuanza kuwapotezea wanawake wangu wa zamani.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari wadau.. kwa seke seke la msiba wa mengi.. nimeamini ule msemo adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. mitandaoni ni drama tupu.. zikianzia kwa dada Mange wa majuu.. na hizi drama wanawake...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Sitaki Demu
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimegundua kuwa ni vizuri ukiwa na mpenzi wa imani yako. Yamenikuta!!! Mwezi mmoja nauona kama miaka 100.
9 Reactions
90 Replies
5K Views
Nakumbuka ilikuwa ni siku ya Jumamosi mwaka 2015 siku ambayo niliamua kuachana na mtu niliependana nae kwa Dhati kabisaa huku nikijiapia nitakuwa Play boy milele na kamwe sitapenda kama...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar za asubuh wapendwa. Mi sio mwenyeji kwenye hili janvi ila nimekuwa msomaji mzuri wa post na comments za wadau. Nimeona kwa kipindi kirefu watu wanasifia sana zinaa nikataka kujua kupitia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna ladies nyuzi za natafuta mpenzi huwakosi kabisa. Ndoa jaman ndoa,,, Mambo yamebadilika sana, mfanye Wosia/ misemo, iyanze kutengenezwa jaman kwa mabinti wanao balehe, Mabibi mnafall...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wana JF. Poleni kwa msiba na mvua kwa ujumla. Wadau shule na exposure ya maisha zimetubadilisha wengi katika njanja nyingi za maisha. 1. Wanaume wengi wameacha au kupunguza kuwapiga...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom