Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wana jf habar zenu, Kuna dada nilimkopesha laki5 daah nilishangaa nampa tu dada tumefahamiana week tu kakopa 500k cash nmempa bila kipingamizi. Alinambia baada ya week anarejesha sasa week ya3...
4 Reactions
105 Replies
11K Views
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanadai kwamba hawawezi kufanya mapenzi kwa kutumia kondom sababu huwa zinawawasha. Wengine huenda mbali zaidi na kusema kwamba huwa wanapata michubuko pindi...
3 Reactions
44 Replies
6K Views
Kuna kitendo cha ajabu sana kwa baadhi ya members humu JF. Utakuta dume zima na mtu mzima kamisa humu ndani anatumia jina la kike na aneweka picha ya kike kama ndiyo utambulisho wake wa member wa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi JF naipenda sana JF Basi Leo tupeane mbinu za jinsi ya kuwa na mwanamke wa kizungu unaempenda. Swala la kumtongoza mwanamke inategemea na utamaduni wa sehemu husika unavyotumika lakini mimi...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Kama umeshagegedwa au umeshagegeda leo siku ya Eid na ulaaniwe sana. Na kama umeweka appointment ya kugegeda au kugegedwa leo siku ya Eid na wewe pia laani isikukuse huko ulipo. Hii haijalishi...
2 Reactions
72 Replies
7K Views
Nilikuwa na mpenzi wa kichaga nikakuta kandolewa antena, nikashikwa na butwaa. Je, mabinti wa kichaga wanakeketwa ?
0 Reactions
59 Replies
10K Views
Hekima kutoka kwa mzee: Vijana oaneni mapema Ikiwezekana mzae mapema,kama huna athari za kiafya zaeni kuanzia 5 na kuendelea Watoto wapewe misingi ya umoja na wasibaguane Na ikiwezekana...
1 Reactions
0 Replies
701 Views
Habari za usiku Kweli usilolijua ni usiku wa Giza And when it rains it pours Yamenikuta mwenzenu Toka last week sina raha Saivi nahangaikia passport niende zangu south ama Botswana Kweli hujafa...
5 Reactions
83 Replies
9K Views
Kuna dada nilifahamiana nae kupitia rafiki angu ambae walikuwa wanajuana na wapo karibu kiasi, nilichukua namba kwa rafiki yangu nikawasiliana nae nakufanya appoitment ili anifahamu kwani hakuwahi...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Mnapambanaje na hiyo changomoto,akikuta 50,000 mfukoni anakwapua,akijua pin yako ya M pesa Tigo nk shida,ukimuweka kwenge genge auze tabu tupu,ukimuweka dukani balaa tupu,ukimpa hela akanunue 1 kg...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Kichwa habari kimejieleza ,endapo mwenye uhitaji Kama mimi anaweza nitafuta kwa mazungumzo Cha msingi kupendana na eshima Mengine tutaambiana inbox
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Baada ya kufungua akaunti hiyo feki, Mwanamke huyo alianza kuwasiliana na mpenzi wake na kumhoji maswali mbali mbali kuhusu maisha yake ya mahusiano Katika hali iliyomshangaza Akosuah May ambaye...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Zamani kabla ya kuanza mapenzi niliambiwa kwamba kile kitobo cha mwanamke (papuchi) ni kidonda ndani yake kuna Moto, ukijaribu kuingiza ata kidole unaungua...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
kwa walio achwa in box
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana. pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili. naenda kuoa Zanzibar niko...
15 Reactions
146 Replies
41K Views
Naombeni ushauri Nifanyeje mume wangu aniamini kama mwanzo? Iko hivi:- Mwanzo mwenzangu alikuwa ananishirikisha mambo yake. Ikifika mwisho wa mwezi ananiambia kimepatikana kadhaa tufanye...
1 Reactions
43 Replies
9K Views
Sichagui jinsia wala kabila
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika...
49 Reactions
348 Replies
27K Views
Nimekuwa ninashangaa namna baadhi ya watu katika jamii wanavyoshikwa na butwaa pale wapenzi wao wanapofanya jambo ambalo hawakuwahi kulitazamia. Kuna matukio mengi, ya kushangaza yanayofanywa na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom