Ongeza, wagogo, wamasai, nyirambaWarangi, Wambulu, Wakurya, Wachaga, Wataturu, n.k ni makabila mashuhuri kwa kukeketa mkuu usishangae.
NdioWewe mchagga??
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Acha mataniNdio, tunakeketwa
Heri ya siku ya wafanyakazi mkuu.Nilikuwanae mtoto wakichaga nikakuta kandolewa antena nikashikwa na butwaa ndo nauliza je mabint wakichaga wanakeketwa ?
Mbona ukeketaji unapigwa vita baadhi ya maeneo , Kilimanjaro aupigwi vita?Kuna dogo nilikuwa nae back in the days alikuwa amekeketwa na ilibidi nichunguze background yake nikagundua amelelewa na bibi..so inawezekana kuna baadhi wanafanyiwa maana wazee/wabibi wa zamani wanaweza kuwa conservative