Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

1-Kufungiwa mlango kwa nje hapa.. kipindi hicho.. nilikuwa na kidem kikali mtaa mzima hakuna.. sasa washkaj wakanionea wivu.. c unajua milango ya uswazi.. komeo lipo nje.. wakati dogo namkanyaga...
2 Reactions
46 Replies
8K Views
Hiv jaman kesho ndio mwisho wa application,mbona wengi hatujamaliza,na majibu ni lini.....duh mlolongo mrefu kweli pale EMS posta
0 Reactions
2 Replies
713 Views
Ukitaka ndoa yako idumu ni muhim kuoa mwanamke ambaye atashinda nyumbani na kuhudumia familia,kwasababu hata akiwa na kazi hela zake hutaziona,sasa atakuwa anatumia hiyo kazi kugegedwa wakati hata...
17 Reactions
71 Replies
7K Views
Hili ni andiko lisilo rasmi( don't take it serious) kama kawaida kila tufanyanalo linakuwa na matokeo either negative or positive. Direct kwenye point hizi ni baadhi ya addictions na matokeo yake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wana Jf.. Nimeleta Uzi huu ili uwe kama suluhisho kwa wanandoa na wapenzi ambao huwa hawawaambii wapenzi wao vile vitu ama vitendo wanavyopenda kufanyiwa kabla, katikati na baada ya tendo...
2 Reactions
28 Replies
9K Views
Wanawake wa Nyeri Kenya wanahitjika sana kufundisha kitcheni party Tanzania kuna masomo kama haya yaongezewe kwenye sylabus ya kitchen party
2 Reactions
42 Replies
9K Views
IPOTI MAALUM: HATARI KUBWA KWA WANANDOA Na Bollen Ngetti HUU ni utafiti ambao umenichukua takriban miezi 6! Ilikuwa niikabidhi kwenu wadau na Serikali wiki mbili zilizopita lakini haikuwa hivyo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu Nitaeleza kwa ufupi sana Wanawake asilimia kubwa kutoka nchini Rwanda na Kenya ni wastaarabu sana na wana adabu na heshima sana kwa wanaume. Nashauri vijana mtupie macho huko mnaweza kupata...
4 Reactions
37 Replies
6K Views
I don't wanna put more words. Just take a look at the picture and give your comments as far as Tanzanian context is concerned. Naonaga picture ukioa Haika wa Marangu...na ukioa Mwantumu wa Tanga...
2 Reactions
65 Replies
6K Views
Kulingana na ulimwengu jinsi unavokwenda ni ngumu kidogo kwa zama za sasa kumtokea mwanamke na akawa hakutaki na kukwambia ukweli kuwa hakutaki kulingana na sababu ambazo mwenyewe anazo. Lengo la...
16 Reactions
72 Replies
7K Views
Mpenzi wako anapokuambia NAKUPENDA huwa unajiona upo sayari ipi tukiachana Na hii ya dunia Wengine hii ni kero kubwa na tulishachoka kabisa!!!!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi...
49 Reactions
74 Replies
10K Views
Ile Sanaa ya kutongoza LIVE kwasasa inaonekana imepitwa na wakati. Kwasababu ya kuwepo Kwa mawasiliano. Yaani mtu anamwita demu, anaomba namba kisha akipewa anaanza kutongoza Kwa msg..... Ok sio...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
naoga, subiri nikimaliza kuoga :):)
1 Reactions
22 Replies
3K Views
JICHO LA MLIMWENGU Kamwe milima huwa haikutani ni binadamu tu wanaokutana ni mojawapo ya hekima za walimwengu ambazo waliwahi kunena. Ni Maneno yanayomtoka kinywani Shungu baada ya kupotezana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yaani watu wamekaa kwenye ndoa miaka 30,40 au 50. Wamezaa na kuozesha. Mara nyingi mama anaitwa kwa majukumu ya kumhudumia mzazi. Akiwa pale ndiyo mnagundua mama ana matatizo ya afya. Mkienda...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakati mwingine unatakiwa uishi Ukiwa Na Mtazamo Chanya ili Usipate shida na stress zisizo na maana Mfn: Umemtumia Mpenzi Wako Vocha Ukajua Anaweza Akakupigia Na Hajakupigia [emoji117]assume...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Sister Prostitutes, Wherever you are, I salute You Wealth and Health, To us all. Hold your heads High, My sister, The entire arena of the night and day, Is yours ............ Walk softly like...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Nawasilimia ndugu, marafiki na wajukuu zangu wote. Nimewamiss sana, Babu DC
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kijana mwenye umri wa miaka 35 amefariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye shamba la mahindi na mwanamke anayedaiwa kuwa ni mjane. Polisi wamemtaja kijana huyo kuwa ni Julius Bor na kwamba...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom