Ni siku ya tatu tangu nimtongoze huyu Single mother na kukubaliana nae kiutu uzima kuhusu kuunganisha vikojoleo vyetu,
--Sasa Siku ile ile yaani juzi baada ya kukubaliana tu jioni kanicheki...
Habari.
Mimi jaman kuna jambo lanitatiza, kuna demu ananipenda kuliko maelezo yaan sana tu kila kitu anafanya yaan nikisema kila kitu muwe mnaelewa. (Kufua, kupika, kuosha, kudek nakadhalika)...
Habarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote...
Salamu kwenu waungwana,
Nimewahi kusikia huku nchi za watu kuna ndoa au mahusiano ya mkataba.
Kama wewe ni mume au mke unakubaliana na mwenzako kuwa katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa kwa...
Napenda niwashauri vijana wenzangu ambao bado tuna safari ngumu yenye kuhitaji kazi kubwa nguvu zetu bado zinahitajika kwanza tujiepushe na zinaa kwani inatumaliza nguvu day mpaka...
Wakuu habarini!
Natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo.
1. Awe mweupe
2. Umbo namba nane
3. Tako liwepo la kawaida yaani lisizidi sana wala kupungua sana.
4. Elimu kidato cha nne mpk degree...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha.
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na...
Wakuu,
Wiki kadhaa zilizopita nilipandisha uzi hapa JF kuwa kuna Beki tatu wangu wa kitanga ana ni Seduce. Huyu Beki 3 nimfanyeje?
Sasa vimbwanga aliviendeleza na wife hakuwa akiniamini...
Ni Sikh nyingine tena niliyoitenga kuwapa wasiyoyajua wanajf wenzangu. kama ilivyokawaida dunia ina mengi sana ya kushangaza na kustaajabisha.
Moja ya mambo usiyajua wewe msomaji wa Uzi huu ni...
“Scientists have found that babies sometimes cry at night to prevent their parents from making another baby “
“ Wanasayansi wamegundua ya kwamba muda mwingine Watoto wadogo hulia Usiku kuzuia...
Leo nina swal muhimu sana kwa wanawake wote tz samahan kwa nitakao wakela ila nataka kuelewa! Ni kwanini wanawake wengi waliopo kwenye ndoa,uhusiano au mapenz wengi wao huwaza kua mume wake ndiyo...
Habarini,
Jamani siku hizi wadada wa kazi hawakai, akija baada ya mwezi utasikia naondoka, sababu ni nini? Tupeane mawazo ili tusaidike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzazi mwenzangu ambaye naishi naye, wiki ilopita lisafiri kidogo kuelekea nyumbani. Kwabahati nzuri nyumbani kwako na kwetu Ni mji mmoja.
Sasa leo wakati tunachati asubuhi akajikuta ametuma namba...
1. AL- MUKHTALIA
ni mwanamke anaependa kuomba Talaka kila wakati ama mwenye kupenda kumwambia mumewe nirudishe kwetu wachaane kila mara.
2. AL- MUTABAHIA
ni Mwanamke mwenye majisifu kwa mavazi...
Sasa ipo ivo kuna mdada nilimwona status ya rafiki yangu wa kike nikaomba namba nikapewa nilivyomcheki hakuzingua akawa ana respond vizur tuu nikamwomba picha akanitumia anaonekana mzuri kweli na...
Hotuba ni nzuri imejitosheleza
*HOTUBA YA RAIS JPM KWENYE SADC*
Ladies and Gentlemen;
I feel greatly honoured and yet privileged to be given this rare opportunity to address this Assembly for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.