Ni kweli wanawake kondom zinawawasha ?

Ni kweli wanawake kondom zinawawasha ?

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
556
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanadai kwamba hawawezi kufanya mapenzi kwa kutumia kondom sababu huwa zinawawasha.

Wengine huenda mbali zaidi na kusema kwamba huwa wanapata michubuko pindi wanapofanya mapenzi kwa kutumia kondom.

Je ni kweli huwa zinawawasha au inakuwaga ni gia yao tu kutaka kufanya mapenzi bila kinga ?
 
From Zero IG to Zero Competition, huu mwaka lazma tufe mapema.
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanadai kwamba hawawezi kufanya mapenzi kwa kutumia kondom sababu huwa zinawawasha.

Wengine huenda mbali zaidi na kusema kwamba huwa wanapata michubuko pindi wanapofanya mapenzi kwa kutumia kondom.

Je ni kweli huwa zinawawasha au inakuwaga ni gia yao tu kutaka kufanya mapenzi bila kinga ?
 
Kwani unavaa condom unaogopa Nini!? Kama ndio ukimwi account bank una sh ngapi unayo hofia kuipoteza... Nyama kwa nyama ni tamu mnoo
 
Back
Top Bottom