Hekima kutoka kwa mzee

Hekima kutoka kwa mzee

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,939
Reaction score
61,733
Hekima kutoka kwa mzee:
  • Vijana oaneni mapema
  • Ikiwezekana mzae mapema,kama huna athari za kiafya zaeni kuanzia 5 na kuendelea
  • Watoto wapewe misingi ya umoja na wasibaguane
  • Na ikiwezekana washirikishe katika shughuli zako za kibiashara,kikazi n.k
  • Watoto wako ndio marafiki zako,sisi wengine ni wapambe tu tunaweza kukugeuka muda wowote ule kama hutokuwa na manufaa na sisi.
  • Ukiwa mzee au mgonjwa hapo ndipo utaona umuhimu au fadhila za uzao wako
 
Back
Top Bottom