Nataka kuoa mwanamke wa kiarabu

Nataka kuoa mwanamke wa kiarabu

Algeciras

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2016
Posts
349
Reaction score
330
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.

pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.

naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.

naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
 
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi huu kutokana kuona ndoa zao zinadumu kwa kiwango kikubwa kuliko kuachana.

pia madada wa kiarabu sio rahisi kucheat kuliko wa kiswahili.

naenda kuoa Zanzibar niko katika maandalizi ya kutafuta.

naombeni baraka na kheri zenu wakuu.
nani alikuambia waarabu wanapatikana zanzibar,huko unaenda kwa waswahili wenye asili ya Uarabuni,tulia kijana usije rudi na jini
 
Mmh kaka , si vibaya kua na wazo hilo ila kama kijana mzanzibar ambae najua hulka za watu ambao wana asil ya uarabu nikiwa ni miongon mwao nataka nikupe sifa mbil tatu walizonazo hao watu , kiukwel kama maisha yako ni yakujiweza vzur had unamilik kiusafir japo ki vitz go ahead na km unaweza ku mudu pressure za familia yke pindi utapomuowa kwan familia za kiarab zna dharau sana sio zote ila nazungumzia majority ukiwa huna kitu manno mann hayatoisha had mwanamke hata kam anakupenda kwel bas anajikuta anashindwa kuendelea na ww , kwan wao wanapenda luxuries yaan hawatoridhika na ww moyon km mtoto wao atakusa luxuries na jitayarishe na ugeni wa mara kwa mara wa ndugu tena wanapokuja sio mmja watakuja weng na kipind icho wataangalia mapunguf ya nyumba na kuenda kuyajadl , la mwisho km huna nyumba yakwako mwenyew forget about it au lazima na ww mwenyew uwe asili yao ....
 
Wewe sema nataka kuoa Mgunya si mwarabu mwarabu pure hawezi kuolewa na Mtu mweusi ndo maana umeona Biashara ya Utumwa ilikuwa inaendeshwa na Mwarabu huku Mzungu ni mnunuzi lakini ukienda Uarabuni uwezi kukuta watu weusi kama ilivyo leo Ulaya na US ukikuta mtu Mweusi kaoa Mwarabu bhasi huyo Mweusi ni tajiri au ana fedha au huyo Mwanamke wa Kiarabu ni mgonjwa wa akili (Chizi au mtambo )au ni mlemavu wa viungo
 
Back
Top Bottom