Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.
Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado...
Utakuta amejiunga kwenye vicoba vitatu. Wakati uwezo wake ni kulipia kikoba kimoja tu. Hapo ujue anao wawili..kila mmoja analipa kikoba kimoja. Mwisho wa mwezi ukifika mapenzi yanaongezeka...ili...
Hiyo ndio hali halisi. Kwa sasa kila kijiwe ninachopita vijana wanalalamika ni vigumu sana kupata hii kitu inaitwa bikra hata kwa mabinti wabichi kabisa.
Imezoeleka vijana wengi wa kiume...
Nilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.
Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua...
🥰😍😘
Ooh yeah am in love with you Dadii....
Since the day I met you
Uber kama Tanga Segera.....
You are my Man for real, my King and my Morning Sushi.
Kasie Mahaba Matata.
Habari zenu ndugu wanajukwaa!!
Nianze kwa kusema kwamba siku zote ukiwa mwoga kuna mtu au watu unawaweka kwenye hatari kwani hao watu wanakuona kama mwokozi na mtetezi wa haki zao unapokosa...
Wasalaaaaaaaam ndugu zangu??,,Jana hiyo jion around saa 1800hr narudi zangu home kutoka kwa mishemishe zangu nawahi mechi ya Smba na Azam kufika tu mageton namkuta wife materials wangu ametimba...
Asalaam wakuu?
Kwa wale wote mlio kwenye mahusiano ya mapenzi/ndoa ningependa kujua kutoka kwenu kama mapenzi/mahusiano yenu je mnayafurahia au mnavumiliana tu!?
NB: naombeni mseme kweli...
Wakuu habari zenu humu MMU
Niende kwenye pointi kuna falsafa ina sema "mwanaume hukata tamaa mapema ili asiume na mwanamke hakati tamaa mapema mpka aumie"
Nakarbisha maoni
Wasalaaaaaaaam ndugu zangu??,,Jana hiyo jion around saa 1800hr narudi zangu home kutoka kwa mishemishe zangu nawahi mechi ya Smba na Azam kufika tu mageton namkuta wife materials wangu ametimba...
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza swali hili kutokana na utaratibu uliopo nyumbani kwangu. Juzi nilikuta kuna ugomvi kati ya wife na house maid wetu, ambapo yule binti alikua amefura kwa hasira...
Kwanza kabisa huu ugonjwa unawahusu baadhi narudia tena BAADHI na si wote ya wanaume wa dar na wa mikoani haujachagua hivyo kelele za kurushiana mpira kati yenu hazitobadili ukweli.
Kwakweli...
Naombeni yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kufanikisha kupatikana kwa huyu mama maarufu kidogo...
Nina shida nae kubwa sana huyu mama angu...
Kama kuna mtu ni jirani yake...basi naomba hata aje...
Hili sasa halina mjadala au ubishi kuwa kumtongoza mke wa mtu ni rahisi sana kama kusukuma tairi katika mteremko wa mlima kitonga. Lakini ni ngumu mno kutongoza hawa wasichana wetu wa kiswaz wana...
Kidawa binti mrembo alimaliza masomo yake ya ukatibu muhtasi kule Tabora na kupata ajira mjini. Akiwa mgeni ofisini aliletewa kadi ya mchango wa harusi, ilikuwa ni harusi ya mdogo wa mfanyakazi...
Wanabodi habari za jioni,
Naomba mnisaidie,yeyote anayefahamu utaratibu wa mahari kwa ndugu zetu wamasai umekaaje anisaidie,nakaribia kwenda umasaini kwa issue za mahari,mwenye uzoefu aumwage...
Nasikia sikia tu humu ndani...huwezi kumtumia huyu Member message...
Na mimi nikajaribu kwa mmojawapo wa walalamikiwa...
Tunaomba tufahamu...hiyo program ya kulock PMs ni ya wadada tu au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.