Wanabodi habari za jioni,
Naomba mnisaidie,yeyote anayefahamu utaratibu wa mahari kwa ndugu zetu wamasai umekaaje anisaidie,nakaribia kwenda umasaini kwa issue za mahari,mwenye uzoefu aumwage hapa ikiwa ni pamoja na gharama au vitu wanavyohitaji.
Nawasilisha
Naomba mnisaidie,yeyote anayefahamu utaratibu wa mahari kwa ndugu zetu wamasai umekaaje anisaidie,nakaribia kwenda umasaini kwa issue za mahari,mwenye uzoefu aumwage hapa ikiwa ni pamoja na gharama au vitu wanavyohitaji.
Nawasilisha