Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanaume kumtupia lawama mwanamke kulianzia mwanzo kwa Adam na Hawa
9 Reactions
48 Replies
4K Views
Baada ya kununiwa kwa week2 mfulilizo bila kujibiwa txt wala kupokea my calls na kuniblock juu ofcourse nilikuwa crazy nilikuwa najua nmeachwa tayar. Huyu bint nampenda sana jaman ndomana niliomba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wahenga walisema mwanaume akitaka kukuacha hakosi sababu na akiwa anakwenda usi muulize msubiri akirudi. Kuna ukweli wowote katika maneno haya?
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Zamani yale mademu manunga embe ndo yalikuwa yanasoma kombi ngumu kama pcm au pcb na yalikuwa yanafaulu balaa na kufaulu kwao kulichangiwa na ubaya wao kwa kuwa walijua maishani wasiposoma...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nikiwa club halafu nione demu ananishobokea namchukia sana na namkwepa kabisa. Kwa sababu naona huyu anajibebisha bebisha ili anipige kizinga nimnunulie bia.
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Huyu dada ana roho mbaya sana. amekuwa girl friend wa kaka yangu kwa mwaka mzima na walikuwa wanaishi wote Dar though walikuwa hawakai nyumba mmoja ila sleepover zilikuwa za kutosha. Siku moja...
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Yani mwanamke aliye nizidi miaka ambaye sio ndugu yangu au mzazi wangu siwezi kumuamkia kamwe abadani kwa kuwa najua muda wowote anaweza kuwa mke wangu.
5 Reactions
26 Replies
5K Views
Kiufupi nimeoa mwaka 2017 na tumejaaliwa mtoto mmoja, ila kuanzia mwezi wa 12 mwaka jana nimekuwa katika hali ngumu na mke wangu katika ndoa, amekuwa hanisikii mimi kama mmewe kila kitu...
15 Reactions
159 Replies
17K Views
Wadau daah yani katika watu ambao hawaoni faida ya kondomu mimi ni namba moja Huu mwaka wa pili nawatia mademu bila kondomu na wala sina taimu ya kuvaa kondomu kwenye maisha yangu Kama kuna...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari za MMU wadau! Niende moja kwa moja kwenye mada. Leo katika mizunguko yangu maeneo ya Kigambonino kwenye jiji la makondactor basi nikamuona duu mmoja barabarani akiwa anatembea. Baharia...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Baada ya break up, mwanamke akianzisha mahusiano soon after anaonekana hajatulia na jamii inayomzunguka inamchukulia vibaya. Lakini mwanaume anapofanya the same thing, jamii hiyo hiyo inaona ni...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Nairaland Emmanuel Acheampong, a senior lecturer at the Ghana Institute of Management and Public Administration (GIMPA) Business School, has come out to share his experience on how a Nigerian...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi guys, Hope weekend ipo poowah kabisa...!! Ety jamani mnajua kuwa, "Mahusiano yana lugha?" Basi kama ulikuwa hulijui hilo. Leo Dr sai anakwambia kwamba "Ndio, mahusiano yana lugha". Kama...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nahitaji laini za uwakala,Airtel Money na Mpesa .
0 Reactions
3 Replies
761 Views
“Wapenzi hebu nambieni ukweli Iko hivi: Asubuhi umekorofishana na mumeo, wandoa kabisa, ukaanza kubwata, hakukujibu kitu kwakua anajua yy ndo mkosa, akaelekea kwenye mishe zake bila kukuomba...
11 Reactions
174 Replies
16K Views
Kapewa nyumba ya ghorofa analia haya .wakaka kazi mnayo
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Mabaharia mnaopenda vyura,walisheni vinono wenzi wenu ili waongezeke.Chura haiji free kutoka mawinguni,namna utakavyomuhudumia vizuri siku hadi siku....ukubwa utakuwa unaongezeka.Na mwisho wa siku...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Mm nikijana wamiaka 26 natafuta mpenz hatimaye aje kua mke sifa awe anatokea mkoa wa manyara kwaaliyepo aniPM mengine tutaelekezana huko
0 Reactions
4 Replies
904 Views
Natumai mu wazima ndg wana JF! Mimi ni kijana niliyezaliwa miaka ishirini na sita iliyopita (26). Ni kijana wa nne kwenye familia ya watoto tano, nilizaliwa moja ya mkoa unaopatikana kasikazini...
14 Reactions
49 Replies
7K Views
✍ MENDE anamuogopa PANYA, PANYA anamuogopa sana PAKA, na PAKA anamwogopa MBWA...wakati huo huo MBWA anamwogopa MWANAUME na kumbe MWANAUME anamwogopa MWANAMKE...sasa hutaamini nikikwambia MWANAMKE...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom