Mwanaume akikuaga usimuulize habari, muulize akirudi

Mwanaume akikuaga usimuulize habari, muulize akirudi

Sky Eclat usipate fadhaa ya moyo. Kuna ukweli nusu uongo nusu. Inategemea namna ya uulizaji. Je, kuna udadisi, uchokozi, ukorofi, urafiki, hamaki au ukali kwenye sauti ya muulizaji? Binadamu hachungwi kivile!
 
Mke: Umetoka wapi . . ? [emoji19]
Mume: Kwani ulinituma wapi . . ?! [emoji21]
Mke: mbona umechoka hivyo . . ? [emoji53]
Mme: [emoji34] . . Kuna kitu unantafuta wewe sio bure . . , (anaingia chumbani kuvua nguo na kwenda kuoga . . [emoji372] [emoji371] )[emoji124] [emoji124] [emoji124]

Mke: (anamfuata chumbani . .) Huko ulikotoka hakuna maji . . ?! [emoji11]
(anawahi simu ya mumewe kuikagua . . ) . .


Sky . . , utangolewa meno mapemaaa ukikutana na mume aina ya Juma Pundamali Mensah . . [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kuna namna za uulizaji wanawake wengine wakorofi jamani, wanayaanzaga wenyewe
 
Back
Top Bottom