Nina mwaka wa pili huu kondomu siijui

Nina mwaka wa pili huu kondomu siijui

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,583
Reaction score
35,303
Wadau daah yani katika watu ambao hawaoni faida ya kondomu mimi ni namba moja

Huu mwaka wa pili nawatia mademu bila kondomu na wala sina taimu ya kuvaa kondomu kwenye maisha yangu

Kama kuna vidonge maalum vya kunywa kureplace kazi ya kondomu naomba mnitajie maana siwezi kabisa kumtia demu na kondomu naona najipunja utamu.
 
Utakapopata ule ugonjwa ndo akili itkukaa sawa na utaanza rasmi kuitumia mana inaonesha unao wengi
 
subiri siku ukianza na mkanda wa jeshi then inafuata kuhara na kutapika....baada ya hapo fastafasta kikohozi halafu vidonda mdomoni...

Hizo papuchi utapima faida yake huku chai yako ikiambatana na ARVs through your lifetime.
( Hahaaa Natania tu hakuna ukimwi jombaa, sugua vnembe mkuu)
 
Back
Top Bottom