Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wadau mlowagi kuvuta mizigo/madem kutoka mikoani mmewahi kukumbana na changamoto zipi? Binafsi najutia sana pesa na muda wangu nlopoteza! Dem unaemuona insta/facebook na kusikia saut yake pindi...
4 Reactions
58 Replies
6K Views
Habari wanajukwaa, wale wa bongo Dar es salaam poleni na mvua za kifurushi cha buku jero. Naenda straight to the topic kwamba mwanaume lazima uwe una vitu vifuatavyo(PCM), POSITION, CAR, MONEY...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
  • Closed
Karibuni vijana wa kike na wakiume nawakaribisha kwenye uzi huu , Labda una changamoto yoyote inayokukabili kwenye maisha hujui jinsi ya kuitatua iweke hapa kuna watu wanaweza kua wmepitia nao...
4 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari wana, Kuna kale katabia ka wanawake kuleta usumbufu wa kutoa papuchi kwa ME wao bila sababu ya msingi, sijui ni uvivu ama nini. Unakutana na jibu mimi sijiskii kufanya...mara tutafanya...
23 Reactions
293 Replies
31K Views
Najua kila mmoja ana namna ya kuishi. Pamoja na hayo nimeona vema nikawakumbusha ndugu zangu waliofungwa na vifungo vigumu vya ndoa au uchumba. Nimeamua kuandika huu uzi nikiamini kwamba rafiki...
31 Reactions
133 Replies
15K Views
Heshima kwenu wanawake na wanaume wa hapa jamvini, Lengo siyo kupashana, bali kukumbushana. Mada ya leo ni hii: Inapokuja ishu ya mahusiano, kuna jambo hutokea endapo utasalitiwa na yule...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tangu juzi na jana tumesemeshana weeeh! Tukabishana weeeh! Tukatukanana weeeh! Mwisho tukakaa sawaaa, adabu mkononi aahhahahaaaa looh!! Leo kanialika niende uwanjani jioni nikaangalie nama...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Habarini ndugu zangu wanaJf, Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kama ifuatavyo: Mimi ni kijana wa kiume, kwa sasa nipo Dodoma na umri wangu ni 27. Nimefikia hatua ya kuamua kutoka huku...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mwaka 2007 Beckam yule mcheza mpira maarufu aliulizwa na mwandishi mmoja kuwa anapenda nini sana akasema kuvaa chupi za mkewe Beckam hakukosea kabisa nawe onyesha upendo wako kwake kwa njia...
0 Reactions
64 Replies
9K Views
Habari zenu wapendwa Kuna kitu inatakiwa mjifunze wanaume msiwachukulie wanawake Kama ni viumbe wa kuwafanyia mtakavyo. Mimi uwa na imani mwanaume ambae anweza mdanganya mtoto wa kike akamtumia...
11 Reactions
91 Replies
9K Views
Pengine ni karne iliyojaa mabadiliko ya kila namna kuanzia, kufikiri kwa mwanadamu, masuala ya kijamii, kiuchumi, na nyanja nyingine zote. Kwa kawaida mabadiliko katika dunia hayana budi kutokea...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau nauliza mnisaidie hivi sheria ikoje inapotokea umemfumania mkeo live na jamii ikajua, ukaamua kuachana na mwanamke wako. Je? mtagawana mali zote ulizovuna naye au atabeba msaraba wake kwakua...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi, ndoa yangu imepangwa kufungwa mwanzoni kabisa mwa mwezi ujao. Jana, mume wangu mtarajiwa alinipeleka sehemu kwa lengo la kunitambulisha best-man (BM) wake. Tangu macho yangu yalipotua...
5 Reactions
69 Replies
10K Views
Ndo hivyo wakuu, suala la kusomesha mchumba kila mtu abaki na msimamo wake. Wewe msomeshe ufundi wa cherehani mimi ntasomesha mpaka shahada ya uzamivu. Mtoto wa mmiliki wa shule za Tusiime...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
mwanamke hata kama atakupenda vipi, ujue lazima atatongozwa na wahitaji wengine... lililobora kwetu wanaume ni kujenga mazingira yakuendelea kuonekana bora kwake, hili litampa uwezo wakuitoa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuna demu mmoja namfukuzia pamoja na changamoto nazokumbana nazo ikiwa ni pamoja na simu zangu kutokupokelewa kwa wakati,sms kutokujibiwa inavyotakiwa,akiniona kama vile anakua na aibu flani ivi...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama unawahi kukojoa wakati wa sex na kuchelewa kurudia game (round 2) jaribu hii. Kuna mbinu nimekuwa nikitumia wiki tatu sasa naona ni nzuri ijaribu usiku wa leo halafu utaleta mrejessho. ipo...
5 Reactions
69 Replies
10K Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25 Natafuta Mwanaume mwenye Hali Kama yangu.kama unauhitaji wa mtu Kama Mimi plz pm mengine tutajuana mbele ya safari
8 Reactions
72 Replies
9K Views
Mimi ni mwanamke miaka 27 nipo Dar es salaam naishi namaambukizi nya VVU natafuta mume wa kunioa mwenye hali kama Yangu miaka29 mpka34 awe na afya nzuri awe amejikubali awe mkristo awe tayali...
6 Reactions
31 Replies
6K Views
Mke wa mtu kumpenda mume wa mtu ni sahihi?Nilishawahi kukutana na hali hii,kutokana na moyo kuwa mwepesi nikajikuta tupo pamoja.Mbaya zaidi mwenzangu amezidiwa muda wote ananiita mume wake na mara...
1 Reactions
100 Replies
12K Views
Back
Top Bottom