Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Unamdate mwanamke kwa mapenzi yako unaamua kumsomesha,kumfungulia biashara.baadaye mnashindwana unamwua au kumjeruhi. Huo ni upumbavu.kama unamsaidia msaidie tu siyo kutuletea misiba ya...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi fellas...am new in the house..............wanna say hello..... pain exist only bcoz weakness exist.....
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Niko njia panda ingawa nina ugwadu! Kuna mademu wawili baada muda wote wametiki na kuniahidi kunipa mzigo leo Jumamosi. Sound zao za pesa wote walinitangazia shida, tukafikia muafaka kwamba...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu, Kiukweli mimi ni mbahili hasa, linapokuja suala la kumhonga mwanamke pesa huwa najiuliza mara mia mia so matokeo yake nimejikuta naishia kuwa kwenye mahusiano na wanawake wasiokua na mbele...
7 Reactions
79 Replies
9K Views
Wengine bado hatujaoa, lakini tunayoyaona juu ya wake za watu yanatisha kwakweli kiasi kwamba tunajiuliza mara mbili mbili yuu ya kuingia katika hii tasnia (ndoa). Ukisema kijana unajiepusha na...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
inasemekana moja kati watu wenye nguvu na ushawishi duniani ni raisi wa marekani. kwa sasa rais wa taifa hilo kubwa duniani ni Donald Trump. licha kuwa rais, pia ni kati ya matajiri wakubwa sana...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Haikuwa kazi rahisi kumshawishi Mwalimu Makoba kuweka makala hii katika blogu yake. Alipomaliza kuisoma katika kompyuta yangu, alicheka kisha akasema, "makala yako itaniharibia wanafunzi wangu!"...
3 Reactions
106 Replies
51K Views
Hello guys. How would you feel if your husband/boyfriend, wife/girlfriend never posted you on his/her social media? What would you do? Does social media matter to you? Me personally, I...
11 Reactions
158 Replies
11K Views
Mchepuko wangu unasema hautaki kushea na mtu yeyote. Sasa hapa nakuwa na mashaka, anamchukuliaje bi mkubwa? Mabaharia wazoefu, hili mnalionaje? Lina afya kwenye ndoa yangu kweli?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wadau wa psychology, ninaomba ushauri wenu wa ndoa. Mume au mke anapoachana na mwenza wake wa ndoa anatakiwa kiafya ya ubongo na mwili achukue muda gani wa mapumziko kabla ya kuingia mahusiano...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa...
3 Reactions
104 Replies
20K Views
Haya ni mambo ya msingi sana katika maisha iwe kazini, kwenye biashara, urafiki , mahusiano au vijiweni tu. Mfano. 1. Mwanamke umemwahidi mpenzi wako mnakutana muda fulani sehemu fulani...
22 Reactions
62 Replies
6K Views
Nafikiria kidogo, na wewe jaribu kufikira, hivi,ikitokea watu wakafanya utafiti huu,wakawachukua watoto wawili yaani wa kiume na wa kike au watoto kadhaa wa kiume na watoto kadhaa wa kike,kuanzia...
7 Reactions
56 Replies
7K Views
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu...
1 Reactions
115 Replies
17K Views
Matatizo huanza kwa sababu ya kuoa ama kuolewa, mkiwa mmesha-confirm kuishi pamoja ndani ya himaya moja. Laiti kama kila mtu angekuwa anaishi kivyake, hata baada ya kuzaa sidhani kama mambo ya...
5 Reactions
71 Replies
7K Views
Wanaume tumeumbwa...matesooo...kuhangaika! Nilipokuwa mdogo nilikuwa sijui maana ya huu wimbo, ila kwa sasa nimejua walichokimaanisha...kutokana na bili zinazokuja kutoka kwa hawa wapenzi wetu...
2 Reactions
45 Replies
11K Views
Habarini za muda wakuuu. Najikuta napata hamu ya kumdukua shemeji yenu sasa kila ninavyojaribu kumdukua sikuti mchepuko,sio mara mbili au tatu ni mara kibao nafanya hvyo lakini bado naona sms...
5 Reactions
149 Replies
15K Views
Dogo akagharamia kinoma kama Miezi miwili hivi akanionyesha Mtoto picha zake kwenye simu Mtoto mweupe shep kama Beyonce Siku anaenda onana nae usiku alikuwa kesha liwa kama Laki Mbili hivi...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Kama kichwa cha Habari kinavyosomeka kuna hii dhana ya "MCHUMBA HASOMESHWI" hii ni dhana potofu na inabidi ikemewe vilivo. Naanza, kumpenda mwanamke au msichana yeyote ambae una matarajio ya...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndo wimbo ambao huwa unanikumbusha kipindi nimelazimika kusafiri kikazi na kumuacha la azizi mbali. Kila ulipopigwa redioni machozi yaninilenga, kipindi hicho nilikokuwa hakukuwa na mtandao...
2 Reactions
38 Replies
17K Views
Back
Top Bottom