Kampungapunga
JF-Expert Member
- Sep 27, 2018
- 313
- 1,100
Wadau nauliza mnisaidie hivi sheria ikoje inapotokea umemfumania mkeo live na jamii ikajua, ukaamua kuachana na mwanamke wako. Je? mtagawana mali zote ulizovuna naye au atabeba msaraba wake kwakua yeye ndo msababishi.
Naomba majibu kwa wanaojua tafadhali.
Naomba majibu kwa wanaojua tafadhali.