Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,018
- 2,599
Habari wanajukwaa, wale wa bongo Dar es salaam poleni na mvua za kifurushi cha buku jero.
Naenda straight to the topic kwamba mwanaume lazima uwe una vitu vifuatavyo(PCM), POSITION, CAR, MONEY, Mimi ni victim mkubwa wa vibuti najibiwa majibu Kama (sorry Sina HISIA na wewe), ila ndipo nikafanya research paper ya kutafuta mademu wa kitaa, hapo ndipo walipojua status yangu nipo chuo ndipo shobo zilianza na nimefanikiwa kuwala Kama darasa na nusu. Hivyo kijana mwenzangu ukipewa kibuti jiulize je Ni wa level zako? Una hata ka vitz au ist?,
Je, una nafasi gani katika sekta fulani?
Kama huna bro kwa nguvu zote saka hela hata kama ni mfupi kama mimi utapendwa tu.
Conclusion: Huwezi fika mia kabla hujaanza moja. Usihangaike na vidada vya chuo per day unahonga pakubwa unakula padogo wakati mtaani elfu kumi tu, unapata watoto wakali. We call it a day.
Naenda straight to the topic kwamba mwanaume lazima uwe una vitu vifuatavyo(PCM), POSITION, CAR, MONEY, Mimi ni victim mkubwa wa vibuti najibiwa majibu Kama (sorry Sina HISIA na wewe), ila ndipo nikafanya research paper ya kutafuta mademu wa kitaa, hapo ndipo walipojua status yangu nipo chuo ndipo shobo zilianza na nimefanikiwa kuwala Kama darasa na nusu. Hivyo kijana mwenzangu ukipewa kibuti jiulize je Ni wa level zako? Una hata ka vitz au ist?,
Je, una nafasi gani katika sekta fulani?
Kama huna bro kwa nguvu zote saka hela hata kama ni mfupi kama mimi utapendwa tu.
Conclusion: Huwezi fika mia kabla hujaanza moja. Usihangaike na vidada vya chuo per day unahonga pakubwa unakula padogo wakati mtaani elfu kumi tu, unapata watoto wakali. We call it a day.