Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

astranaut

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
1,276
Reaction score
1,024
Kuna demu mmoja namfukuzia pamoja na changamoto nazokumbana nazo ikiwa ni pamoja na simu zangu kutokupokelewa kwa wakati,sms kutokujibiwa inavyotakiwa,akiniona kama vile anakua na aibu flani ivi

Ni mtu mzima almost 27 years lakini pamoja na vimbwanga vyote ivyo sijakata tamaa ya kufukuzia japo naelewa kwamba pengine anamutu mwingine anaficha mimi hanitaki n.k

Leo katokea katukuta mimi na jamaa yangu ambao wote anatufaham, sasa katika kutusalimia,alimsalimia jamaa yangu tu kwa kusema amemuona yeye tu mimi hajaniona-kipengere hicho cjakielewa vizuri please mwenye kuelewa lengo la bidada anifafanulie.
 
Kweli maeneo hayo wanaume mpo ulimwengu wenu, mwenzio juzi kaua sababu ya kusomesha. Sasa sijajua wewe unateseka nn kwa huyo bidada.

Wanaume tulishakubaliana kutongoza mara 1 tuu, akileta nyodo unalala mbele.


Unforgetable
 
Pole kwa hilo kwa nini usiachane nae ukawaza mambo mengine bora zaidi
 
Jomba uko Serious kweli!? Kuzungumza kazungumza huyo mdada, majibu unakuja kutuuliza sisi, seriously!?
 
Mimi ndio huyo Rafiki yako tuliyoongozana pamoja leo kitu hukifahamu ni kwamba huyu demu mimi nimeshamlamba ndio maana anakulingia anajua wewe ni shemeji yake
hahahah Zero IQ usfanye mtu aendee kununua gunia 2 za mkaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom