Natumai hamjambo wanajukwaa,
kila mmoja wetu kapitia matukio kadhaa katika mahusiano ambayo ni ngum kuyasahau, hivo nivizuri tukashare ajili yakujifunza.
Upande wangu nilikua nakasumba ya...
Daaah! hili gonjws jamani la UKIMWI linatisha sana kwanza linatisha zaidi pindi unapoenda kupima.
Madaktari huwa wanazingua sana na maswali yao kiasi kwamba yanamfanya mtu mpaka anakata tamaa ya...
Kwa jinsi binadamu tunavyojua kuharibu mambo, duniani kusingekuwa na magonjwa ya zinaa watu wangecheza rafu sana, watu wangekuwa wanajiachia tu bila wasiwasi, kusingekuwa na maana yoyote mtu kuwa...
Wanaume wenzangu ata ile kibeberu tu inatosha,
Huwa nafanya hivyo kumrizisha mpenzi wangu pale tu napoona amekamatia mchezo ili nimtie moyo kwa sauti nzito ya kiume.
Nb.
[emoji16][emoji16] basi...
Habari wanabodi,
Hapa kuna taarifa napewa na mtu wa karibu kabisa. Kwa mtazamo wangu naona jamaa bundi kalala kwake. Nadhani hakuna aliemkamilifu kwa namna moja ama nyingine, kila mtu ana...
Habari ndugu zanguni,
Nisiende mbali mwaka juzi kuna mdada nilifanikiwa kuanzisha nae uhusiano,ni raia mwenye mchanganyiko wa Marekani na Mexico. Nilimpata baada ya vijishughuli fulani hivi...
Ebwana mwezi ulioisha yani June nilipata trip ya kikazi jijini mwanza kwa kazi ya mwezi mmoja aisee mwanza kuanzia Ilemela, Mjini, Mabatini,Bugando, Nyegezi etc kuna watoto wazuri sana aisee...
Wazee Weekend Kareem.
Kuna kijana wa makamo, ana kama 40 years hivi, anataka kuoa, lakini hana mahari.
Alikuwa anafanya kazi kwenye magesi huko Mtwara, alipoingia bwana Mkubwa kampuni yao...
Hivi sasa kumekuwa na jopo la wanawake kurudia wapenzi wao wa zamani baada ya kuona kule walipoenda mambo si mambo. Si kwa wote lakini.
Moja kati ya kiu kinachowasumbua viumbe hawa ni ile ndoto...
Habari za wakati huu, ni wikendi tulivu inayosindikizwa na manyunyu ya mvua tokea viunga vya hapa Kigamboni-Kibada.
Moja kwa moja niende kwenye mada, nimekuwa kwenye mahusiano na mpenzi wangu kwa...
Iam sorry to everyone and any one offended by my post.
Najua mmepanic sababu nimesema nimesema yupo humu JF lakini ningekuwa kisa cha muhusika asiejulikana na hayupo JF najua msingepanic hivyo...
Wakuu habari za weekend!
Siku za hivi karibuni nilipata bahati ya kuwapm mademu wanne hapa JF.
Kwa bahati mbaya sikutegemea kile nilichokiona na kile nilichokuwa nafikia kinaweza kuwa sio sawa...
Kwanini wengi wao utakuta mkienda kulala na mkiwa mnalala nao Kitanda Kimoja utakuwa wanalala vizuri tu lakini pale ukitaka tu 'kumsuuza’ Mama yake haraka sana anaamka na anakuwa mbishi na mkorofi...
Wakuu habarini..
Ni jana mapema, tuliitishiwa kikao cha dharura hapa ofisini baada ya Polisi kuja kumuulizia mmoja kati ya mzee mtu mzima aliekuwa katika kitengo fulani hapa ofisini...
Kwanza niweke wazi mimi ni miongoni mwa binadamu waliokamilika kila idara “Perfectionist”, so sinaga habari hovyo, mimi mambo ni clear huwa sikosei. I’m a serious guy, focused and faithful to GOD...
Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa kabisa, nmetumia kondomu kwa lazima bila hiari yangu.
Yule mrembo aliyezingua kunipa penzi siku ile, leo kaingia 18, na kasema bila, kondomu hanipi penzi...
Habari wanajanvi?
Bila shaka wengne mmelela lakn mkiamka mtaukuta huu uzi.
Hii mada inahusu wale ambao hujifanya wanajua ku-care pale umeanza mahusiano na she, then wewe ndio kila siku unapiga...
Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia, wewe unakalia kusema waooo waoooo kama king'ora cha ambulance.
Shauri yako we endelea kusema waoooo waooo na atakuwa wao kweli.
Kuna demu nimempata mwezi wa nne huu. Ni msichana mzuri sana kwa umbo, sura na rangi yake. Tumekaa miezi kama miwili sababu nilimfahamu baada ya kuwa nampa lift asubuhi anapoenda kazini.
Baadaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.