Mwanamke kutongozwa

Mwanamke kutongozwa

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,469
mwanamke hata kama atakupenda vipi, ujue lazima atatongozwa na wahitaji wengine...

lililobora kwetu wanaume ni kujenga mazingira yakuendelea kuonekana bora kwake, hili litampa uwezo wakuitoa nje michomo mikali ya wahitaj wengine.

NB: hata ukutapo text zakutongozwa usireact direct nakumhukum kua kakusaliti no, we unachopaswa nikumwambia kwa upole hujapenda then endelea kutengeneza mazingira yakuonekana bora kwake, ukifanya hivo watamtongoza sana na hawatampata kamwe.
 
Sawa. Usidanganyike pia kuwa atachomoa michomo yote.

Kuna beki wa Liverpool maarufu VVD, walisema hapitiki. Alikuja mjapan mmoja akampiga msamba. Kaja Rashford kamlambisha nyasi.

Nachotaka kusema atachomoa michomo kadhaa, ila lazima anase kwa mmoja.
 
Swali la kujiuliza hilo no huyo mtongozaji kazipataje? Kama alitoa kwa hiari yake basi hana maisha marefu atakusaliti tu. Maana wenye misimamo yao hata no hawatoi.
 
MMU ndo lango la JF....
Wanawake ndio wanaongoza kutungiwa post....!!!
Nadhani unanong'ona. Ongeza sauti kidogo.

Wanawake ndio asili ya dhambi na uovu
Dunia bila wao ingekuwa mahala bora pa kuishi
Changamoto zao zimefamya joto kubwa duniani
Twaishi kama tupo jehanam kwa mateso makali
Ukimpata mtulivu utaishi, ukimpata fyatu utakufa
Yaani ni sometimes human being hawaeleweki ru

Bazazi
 
msg ANATONGOZWA!!!!

ataniambia huyo mtongozaji kapata wapi namba yake

Ataniambia tu
 
Cha muhimu ni kua usikosee kuoa,ukioa harlot utakufa mapema mkuu.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa. Usidanganyike pia kuwa atachomoa michomo yote.

Kuna beki wa Liverpool maarufu VVD, walisema hapitiki. Alikuja mjapan mmoja akampiga msamba. Kaja Rashford kamlambisha nyasi.

Nachotaka kusema atachomoa michomo kadhaa, ila lazima anase kwa mmoja.
Hawa mademu wa kikazi hiki Kwan wanakataa bhac yan n wanapitika kirahisi km beki line ya dotmund
 
Ukiona unamtongoza msichana na bado kila siku anakazania kukujibu ana mtu wake....kaka usikate tamaaa....mwanamke aliyenamtu wake na anaejielewa hawezi kumjibu mtu anayemtongoza mara kwa mara.

Narudi kwako mtoa post, ukikuta text za mpenzi wako anajibizana na mwanaume anaemtongoza, jua penzi lenu lipo ICU na muda si mrefu litaamia mochwari.
 
Jiulize Hivi!, Ikiwa Mimi Nimempata Hivi Nini Kitakacho Zuia Mwenzangu Nae Asimpate?.

Majibu Ni Siri Yako.
 
Back
Top Bottom