Wanajamvi, ndoa yangu imepangwa kufungwa mwanzoni kabisa mwa mwezi ujao.
Jana, mume wangu mtarajiwa alinipeleka sehemu kwa lengo la kunitambulisha best-man (BM) wake.
Tangu macho yangu yalipotua kwa BM huyo akili na mwili wangu vimejaa ganzi. Sijisikii kabisa kuendelea na mipango ya harusi na mume wangu mtarajiwa.
Kwasabb BM huyu amesheheni sifa ambazo hakika ndizo ninazo zihitaji kwa mwanaume.
Nadhani nililazimisha kumpenda huyu mune mtarajiwa, lkn kwa huyu BM penzi limechanua kwa hiari.
Naombeni ushauri wenu, nifanye nn kuuvuka mtihani huu?
Jana, mume wangu mtarajiwa alinipeleka sehemu kwa lengo la kunitambulisha best-man (BM) wake.
Tangu macho yangu yalipotua kwa BM huyo akili na mwili wangu vimejaa ganzi. Sijisikii kabisa kuendelea na mipango ya harusi na mume wangu mtarajiwa.
Kwasabb BM huyu amesheheni sifa ambazo hakika ndizo ninazo zihitaji kwa mwanaume.
Nadhani nililazimisha kumpenda huyu mune mtarajiwa, lkn kwa huyu BM penzi limechanua kwa hiari.
Naombeni ushauri wenu, nifanye nn kuuvuka mtihani huu?