Namtafuta rafiki wa kawaida tu ila mwenye sifa zifuatazo;
1.awe muislamu
2.umri 15-20
3.Elimu kuanzia kidato cha na kuendelea
4.asiwe katika ndoa
5.awe mkarim
Wanadamu tumekua wepesi kuomba, lakini wazito kushukuru. Napendekeza kwa wale ambao wameshafanikiwa kupata wachumba/wake/waume kupitia safu hii ni vyema wakarejea na kutoa shukrani zao ili na...
Looking for a relationship .. Only girls aged between 18 - 30. Your race is not important.
PS: Please only PMs ..
___________________________
Get Rich or Die Tryin'
Mwenzenu nimechoka maisha ya ubachelor natafuta wa ubabu wangu wa kufa na kuzikana.
Mi ni mwanaume umri wa miaka 35 ni mkristo mtumishi wa umma.
Kwa aliye serious sichagui dini, ngozi/rangi, kimo...
Ni miaka miwili imepita bila yamatumaini wazee waliniambia nitafute mke niowe yyt ambae aliekuwa tayari kuishi na mimi bc tuwasiliane kwa cm no:0777 600127 awe Muislam endapo akiwa Mkristo akubali...
Naitwa dick masomoni ddm,natft rafiki wa kike mwenye heshima na mcha mungu.awe na sifa zifuawazo!
1.umri 22-26
2.elimu f4 na kuendelea
3.mkristo
4mweupe/majikunde na
asiwe mnene sana.p/se...
Heshima yenu Wana JF,
Natambua penye wengi hakiharibiki kitu,mimi nimebahatika kupata elimu ya chuo kikuu na Mungu amejalia nimemaliza degrii ya pili na sasa nafanya kazi.Kipato changu ni cha...
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo
Awe bikira
Umri: 22-28
Awe Muaminifu na mcha Mungu
Hajatoga masikio
Awe mweupe
Awe na Elimu inayozidi form 4
Awe mwalimu
Awe hapendi kuvaa suruali
Awe...
Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.
Wanajamii!!!!!
Vipi Mambo?
Nami natafuta mke God willing
Nina miaka 38, Gifted by God
Namtafuta Lioness hapa MMU. A seedfull woman to marry.
Umri kuanzia miaka 30-40
Kama una mtoto ooppsss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.