dazu
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 365
- 76
Wanadamu tumekua wepesi kuomba, lakini wazito kushukuru. Napendekeza kwa wale ambao wameshafanikiwa kupata wachumba/wake/waume kupitia safu hii ni vyema wakarejea na kutoa shukrani zao ili na wengine wanaondelea kutafuta wapate moyo kwamba mambo haya yanawezekana na vilevile kuonesha moyo wa shukrani, sio kila siku kuomba tu.
Au mnaonaje waungwana?
Au mnaonaje waungwana?