Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta mpenzi mwenye sifa zifuatazo,mwanaume mwenye elimu kuanzia seco na kuendelea,awe na kazi,awe na tatizo la kukojoa kitandani bila kukusudia(kikojozi)anikubali na mapenzi ya dhati bila...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kila kitu kina hitaji backup hapa duniani kama ilivyo gari na spearwheel hali kadhalika ktk mapenzi kuwa na spea tairi ni muhimu....so kwa mdada, mmama au mlimbwende mwenye kuhitaji spea tairi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta msichana anayejua mapenzi haswa,asiyechoka haraka na mtundu wa mapenzi.Awe na body ya wastani,si mnene wala mwembamba.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa sasa nahitaji an online girl friend ...ambaye atakua tayari ku-act as physical one tuwapo hewani ...na hatimaye ataweza kuwa an online wife. very interesting game! ...any girl interested...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila ninapojaribu kuvizia natolewa mbavuni,so nahitaji mtu ambae yupo ready for blind dating!:nerd:
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Hi there...! nahitji binti mzuri wa kuzugia, tukiendana anaweza kupata bahati ya kuolewa nami. I cant speak of marriage right now coz I do believe that this wil be the output of what we gonna buld...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kabla haujaoa angalia aina za wake ili usije ukawa kama jirani yangu mmoja hapa, jina nimeliifadhi, kwaka ni kama kwa MAYENJE! Pia nampa pole yule jamaa aliyemkimbia demu wake kwa kuwa na kipato...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna kaka anatafuta mchumba wa kike jaman umri kuanzia 30-35 umri wake ni miaka 45 naiman kuubwa humu jf atapata. Hakuna utani hapa namba yake. 0753655444.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari zenu humu.. wiki kadhaa zilipitia kuna dada mmoja alikuwa anatafuta wanajamii wanao ishi arusha...sasa natafuta ile post sijaipata nilikuwa naomba msaada ili nipate username yake na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama upo serious naomba unitafute kwa 0759294263 pliiiiiiiiiiz hakikisha waweza nilea na raha zoooooote za dunia utazipata!!
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu! Baada ya kuzitafakari changamoto zinazoendana na mademu wakali, nimeamua nijivue gamba. Mademu wote wazuri niliopata kuwa nao au kuwafatilia wote ni pasua kichwa>kuteseka...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Natafuta friend wa kike wa kuchat nae humu jf sichagui dini wala kabila.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana JF, mimi ni kijana mwenye miaka 28, baada ya kuwa mpweke kwa muda mrefu atimaye nimeona bora nitafute mchumba jamani! Sifa zangu nitaelezea kidogo tu, ni mrefu, maji ya kunde na...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Ninahitaji kua na mwenza sasa sifa: Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno miguu ya bia mweupe wa tanga na zanzibar watapata kipaumbele cha 1 dini yoyote sio freemason tu
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wasifu wangu rangi... mweusi uzito....70kg urefu...164cm kazi.... bado sijapata elimu.... ya chuo umri 30yrs wasifu wa gf ninayemtaka ajue kufikilia, kutafakari na atambue zuri na baya aamini...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
mimi ni mvulana, mtanashati na mpenda maendeleo aged less than 28 yrs. Natafuta msichana wa kutoka nae weekend tubadilishane mawazo juu ya maisha, awe 1.mcheshi 2.mwenye mipango na mikakati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mimi ni kijana(ME) umri 23 nipo chuo mwaka wa 3 Bsc.IT natafuta wa ubavu ataye nipenda nami nitampenda daima then nipo tayari kuwa naye kiuchumba na mwishowe tufunge ndoa!! find me facebook edwin...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
nahitaji mchumba nina miaka 23 nipo chuo 3rd yr Bsc.eng mchumba awe mwalimu wa sec o-level call me 0714133166
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu jf!mimi ni kijana wa miaka 29.natafuta rafiki wa kike wa kuwa karibu na mimi,mpaka 2funge ndoa.nafanya kazi..Mwenye sifa zifuatazo tuwasiliane kupitia jonathan@gmail.com 1.Mzuri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Moyo wangu unagiza kuu Ni mpweke sana sana... Uko wape eh binti mwenye kujua mateso ya moyo mpweke? Uko wape ehh binti ,wenye funguo ya kuutoa upweke wangu? Njoo ee malaika,mrembo na ua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom