mpenzi ninaemtafuta awe mweusi mzuri wa kuvutia, niko kanda ya kati je mtanisaidiaje>?
I thought uliomba tukutafutie mpenzi, naona umeamua tena kutafuta mwenyewe! now which is which??
aidha nina wasiwasi na sifa ulizotaja, mweusi mzuri wa kuvutia, amvutie nani, anaekusaidia kutafuta au wewe???
ni PM nko tayari na sifa ninazo
unatafuta mchumba wa kike au wa kiume?