natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo
1. elimu si muhimu sana
2.kabila nalo c muhumu hata kidogo
3. umuri nao ni muhimu sana 19-26
4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote
5...
Napenda ifahamike kwamba kwa uzi huu sitanii na wala sina nia ya kujifurahisha bali kueleza haja yangu kwa mwanamke wa maisha yangu ambaye naamini yupo humu.
Natambua kuna mwanamke ambaye naye...
Last week niliandika kama nahitaji boyfriend I need a boyfriend and am so happy kumpata mtu ambae tunamatch.
So application closed
Love you my new baby
Nimefanya utafiti huu (mwenyewe) karibu miaka sita sasa,...kulingana na takwimu nilizonazo zinajitosheleza kuwatuhumu Wasichana wasomi hasa wanaokaa mijini(midogo na mikubwa) kuwa hawataki...
Nijuavyo mimi wachumba ni mwanamke na mwanaume ambao wamevuka hatua ya urafiki na kuingia hatua nyingine kwa maana kutambulishana na kutangaza nia ya kuoana.Wachumba siyo mke na mume au watu...
Nina umri wa miaka 25 natafuta mchumba awe anajielewa, ana hofu ya Mungu, elimu kuanza kidato cha sita na kuendelea, awe mrefu kiasi, kwa dini awe mkristo.
Kwa maelazo zaidi tuwasiliane kwa no...
Mi ni binti natafuta mwanaume atakayekuja kuwa mume na baba watoto wetu tutakaopata.
Awe mkristo mi pia ni mkristo.
Awe na urefu na fut 6.
Awe kazi ya kutunza familia.
Umri 32-38.
Asipende sifa...
Nashindwa kuwaelewa Wasichana wa sasa kila msichana nikimuaidi kuwa ntamuoa ahamini hii inatokana na nn au wasichana wa sasa awana tena ndoto za kuolewa?????[[emoji27] [emoji27] [emoji27]...
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+...
Habarini wanajukwaa,
Kwa mara ya kwanza nakuja jukwaani apa, natafuta mwanaume ambae atakuja kua mchumba na baadae ndoa, Mungu akijalia, nimepitia mirejesho mingi wapo walifanikiwa humu juwaani...
Mimi ni msichana wa 25yrs,ninaishi na vvu.ninasoma hivi sasa ninaingia mwaka wa mwisho,nina mwili kiasi urefu kiasi,mweupe kiasi,mkristo.ninatafuta mwanaume mwenye hali kama yangu,mkirsto age btn...
Jamani mimi ni mwanaume, nahitaji mke umri wangu miaka 33, mimi ni mfanyabiashara hapa jijini Mwanza.
Nataka nikimbie ukapera nahitaji kuwa na familia sasa. Mwanamke ninae muhitaji awe na mvuto...
Salaam JF,
Mimi ni mwanaume 30 years mfanyakazi sekta binafsi.
Ninatafuta rafiki wa kike ili baadae Mungu akipenda awe mama watoto wangu.
Umri awe above 25. Awe anaishi mikoa ya Songwe, Iringa...
Naomba kuwasilisha hoja yangu kwenu,
Natafuta mwanamke ambae baadae Mungu akipenda awe mke wangu, mimi umri wangu ni miaka 30.
Naishi Dar es Salaam, ni muajiriwa wa private sector, mwanamke...
Natumaini nyote ni wazima. Natafuta mwanamke mwenye hitaji la kupata mtoto kama mimi pia.
Awe na sifa zifuatazo:
1. Umri miaka 25-34
2 Anajitegemea kiuchumi
3. Awe tayari kupima afya (HIV)
4. Awe...
Jaman naitaji Mchumba wa Kike vigezo awe na umri 19&21 asiwe M mbulu, Mrangi wala Mnyaturu awe anajieshimu, awe mcha Mungu kama yupo anifatee kuleee PM nipo sirias kabisa
Jina kamili ni Abdulkadir Bin Hassan,
Naishi Tanga,
Kazi yangu ni Tour guide,
Nina miaka 20,
Nahitaji mpenzi serious nahitaji mwanamke anae jitambua kutokana na umri wangu nimeona ni jambo jema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.