Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo 1. elimu si muhimu sana 2.kabila nalo c muhumu hata kidogo 3. umuri nao ni muhimu sana 19-26 4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote 5...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Napenda ifahamike kwamba kwa uzi huu sitanii na wala sina nia ya kujifurahisha bali kueleza haja yangu kwa mwanamke wa maisha yangu ambaye naamini yupo humu. Natambua kuna mwanamke ambaye naye...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Last week niliandika kama nahitaji boyfriend I need a boyfriend and am so happy kumpata mtu ambae tunamatch. So application closed Love you my new baby
7 Reactions
68 Replies
8K Views
Jamani nimejikuta nampenda girl mmoja humu JF,kumweleza ndo ishu mana naogopa haya majina yanaweza yasiwe ya kike.
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Nimefanya utafiti huu (mwenyewe) karibu miaka sita sasa,...kulingana na takwimu nilizonazo zinajitosheleza kuwatuhumu Wasichana wasomi hasa wanaokaa mijini(midogo na mikubwa) kuwa hawataki...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Niliyekuwa namuwakilisha mwaka huo wa 2011 alishapata lengo lake... Thread closed...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nijuavyo mimi wachumba ni mwanamke na mwanaume ambao wamevuka hatua ya urafiki na kuingia hatua nyingine kwa maana kutambulishana na kutangaza nia ya kuoana.Wachumba siyo mke na mume au watu...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Nina umri wa miaka 25 natafuta mchumba awe anajielewa, ana hofu ya Mungu, elimu kuanza kidato cha sita na kuendelea, awe mrefu kiasi, kwa dini awe mkristo. Kwa maelazo zaidi tuwasiliane kwa no...
3 Reactions
44 Replies
8K Views
Mi ni binti natafuta mwanaume atakayekuja kuwa mume na baba watoto wetu tutakaopata. Awe mkristo mi pia ni mkristo. Awe na urefu na fut 6. Awe kazi ya kutunza familia. Umri 32-38. Asipende sifa...
2 Reactions
44 Replies
13K Views
Nashindwa kuwaelewa Wasichana wa sasa kila msichana nikimuaidi kuwa ntamuoa ahamini hii inatokana na nn au wasichana wa sasa awana tena ndoto za kuolewa?????[[emoji27] [emoji27] [emoji27]...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Am 28 looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious Nimeajiriwa kampuni binafsi, sina mtoto, mimi ni mkristo mlutheri kabila langu mchaga, mwanaume atakayekuja awe 33+...
11 Reactions
185 Replies
15K Views
Awe mkristo, awe na kimo cha kati, awe na miaka 23-28 mimi nina miaka 31 karibuni pm wapendwa wangu au nicheck 0687076051 na 0653707517
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Habarini wanajukwaa, Kwa mara ya kwanza nakuja jukwaani apa, natafuta mwanaume ambae atakuja kua mchumba na baadae ndoa, Mungu akijalia, nimepitia mirejesho mingi wapo walifanikiwa humu juwaani...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Mimi ni msichana wa 25yrs,ninaishi na vvu.ninasoma hivi sasa ninaingia mwaka wa mwisho,nina mwili kiasi urefu kiasi,mweupe kiasi,mkristo.ninatafuta mwanaume mwenye hali kama yangu,mkirsto age btn...
11 Reactions
101 Replies
12K Views
Jamani mimi ni mwanaume, nahitaji mke umri wangu miaka 33, mimi ni mfanyabiashara hapa jijini Mwanza. Nataka nikimbie ukapera nahitaji kuwa na familia sasa. Mwanamke ninae muhitaji awe na mvuto...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam JF, Mimi ni mwanaume 30 years mfanyakazi sekta binafsi. Ninatafuta rafiki wa kike ili baadae Mungu akipenda awe mama watoto wangu. Umri awe above 25. Awe anaishi mikoa ya Songwe, Iringa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuwasilisha hoja yangu kwenu, Natafuta mwanamke ambae baadae Mungu akipenda awe mke wangu, mimi umri wangu ni miaka 30. Naishi Dar es Salaam, ni muajiriwa wa private sector, mwanamke...
1 Reactions
1 Replies
795 Views
Natumaini nyote ni wazima. Natafuta mwanamke mwenye hitaji la kupata mtoto kama mimi pia. Awe na sifa zifuatazo: 1. Umri miaka 25-34 2 Anajitegemea kiuchumi 3. Awe tayari kupima afya (HIV) 4. Awe...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Jaman naitaji Mchumba wa Kike vigezo awe na umri 19&21 asiwe M mbulu, Mrangi wala Mnyaturu awe anajieshimu, awe mcha Mungu kama yupo anifatee kuleee PM nipo sirias kabisa
0 Reactions
7 Replies
987 Views
Jina kamili ni Abdulkadir Bin Hassan, Naishi Tanga, Kazi yangu ni Tour guide, Nina miaka 20, Nahitaji mpenzi serious nahitaji mwanamke anae jitambua kutokana na umri wangu nimeona ni jambo jema...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom