we hii ni thread yangapi unatoa?
muombe mods password kashaanzisha jukwaa la mahusiano baada ya kufuta jukwaa la wakubwa.
Susy inaonekana wewe ni msahaulifu sana,unaweza kusahau hata mlango wa choo wa nyumbani kwako,wewe mwenyewe nilikuambia nimetuma Thread baada ya ile kuonekana baada ya wewe kusema "i'm single so",kisha ukajibu kwa kicheko tehe,teheee
kwa kusema hvyo unajionyesha huna mapenz ya kweli..
0786 256 380 au 0769 072 588,kama wewe ni binti unaehitaji mapenzi ya kweli nitafute,sihitaji utani wala mwanafunzi wa sekondari labda wa chuo,umri 25 mpaka 35
Duuuh weweyah huyu jamaa anataka mtu wa kuzini naye hakuna mapenzi hapa kwa sababu alivyozipanga hizo namba kama matangazo ya madalali