TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Nimefanya utafiti huu (mwenyewe) karibu miaka sita sasa,...kulingana na takwimu nilizonazo zinajitosheleza kuwatuhumu Wasichana wasomi hasa wanaokaa mijini(midogo na mikubwa) kuwa hawataki wachumba waaminifu. Ukimfuata msichana huku ukionyesha nia ya dhati ya kumchumbia(kwa minajiri ya kumuoa). Akishakugundua kuwa wewe huko nyuma hukuwai kuwa na tabia za kubadilisha wasichana kwa mambo yasiofaa na una mwelekeo wa kicha Mungu(wa kweli kweli) kiasi kwamba hapo baadaye hutaweza kuvunja ahadi ya ndoa (Kukosa uhaminifu)...Loh ataanza visingizio hapo ikishindikana
visa mpaka utaachia ngazi mwenyewe. Na huu utafiti nimeufanya kwa wale walio kazini (kwa kujiajiri au kuajiriwa) na wanaotafuta kazi.
Katika utafiti huu tabia yangu ya Kupiga Kelele nimeiweka kuwa sawa (constant) kwa wale wote niliowatafiti.
visa mpaka utaachia ngazi mwenyewe. Na huu utafiti nimeufanya kwa wale walio kazini (kwa kujiajiri au kuajiriwa) na wanaotafuta kazi.
Katika utafiti huu tabia yangu ya Kupiga Kelele nimeiweka kuwa sawa (constant) kwa wale wote niliowatafiti.