Mimi ni mwanamume ,wasifu wangu ni kama ifuatavyo;
Urefu:173cm
Umri 32 yrs
Job:mjasiriamali
Elimu: form4
Dini: Mkristo
Colour:mweupe kdgo
Body size:average
Natafuta mwanamke mwenye sifa...
Habari za majukumuu wakuu
Naomba niende kwenye maada mm ni kijana wa kiume umli 19 nimejiajili na kazi za apa mjini natafuta rafiki wa kike wakuchat nae kubadilishana mawazo na kupeana...
Beauty lady tested hiv+ age between 18 -30 yrs needed quickly for marriage, pls Pm me if ur interested, also non Hiv+ are welcomed if they r ready to live with me unconditionally am tested Hiv+.
Mimi ni Mwanaume mwenye miaka 26 najitokeza kwa mara ya kwanza katika jukwa hili kwa lengo la hapo juu kwenye heading Nataka kumuoa.
Sifa;
Umri: miaka 19-22
Elimu : Angalau Certificate,Diploma...
Mimi ni kijana wa kitanzania,
Mwenye miaka 33 nakaribisha,
Wanawake kwa wasichana wenye,
Nia ya dhati ya kuanza uhusiano,
Utakao elekea katika ndoa.
Sifa;
Ucha Mungu,
Dini yeyote,
(Nipo tayari...
Wadau habarini za kazi? na poleni na majukumu ya hapa na pale katika kulisukuma gurudumu la maisha.
Leo ningependa niseme changamoto mbali mbali nilizokutananazo katika Love connect
1:Seriousness...
Wanajukwaa nahitaji mwanamke, black beuty, kabila lolote, macho makubwa, elimu na dini sio kipaumbele kwangu.
Nipo Mbeya nina kazi yangu, nina umri 27. Ila azizidi miaka 24.
Sent using Jamii...
Mie ni Mzee wa miaka 40 nimeoa na kuacha mara mbili kutokana na kuto-match. Nimekaa singo miaka miwili sasa bila mwenza.
Nimechoka kujipikia, kufua na kupiga pasi. Nahtaji mwenza kuanzia miaka...
Habari wana JF,
Nimemaliza chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe kufanya kazi binafsi ya kusafisha mazingira hususani kuzoa taka pamoja na kuzibua vyoo ajira hii inanisaidia kupata ridhiki kwa...
Nimepost kuhusu kutafuta mchumba ambaye awe mke,lakn wengi wanaojitokeza wanataka urafiki tu.Mimi ni mtu mzima sitaki ma girl frnd ila nataka mchumba mwenye nia na utayari wa kuwa mke na kufanya...
mimi ni mwanaume wa miaka 31 nipo dar nimeajiriwa natafuta msichana wa kuoa nimechoka kuwa mpweke nataka family awe na umri kuanzia miaka 23 kuendelea asiwe ametumia mkorogo elimu kuanzia kidato...
Habari zenu!
Natafuta rafiki wa kike aliye huru na muda wa kutosha kua kalibu na mimi awe anaishi Dar es salaam au hata mikoa jirani.
Mimi najitegemea na bado sijaoa na nimuajiliwa kwenye...
Habari zenu wanajamvi,
Natumai nyote ni wazima bila kupepesa macho nakwenda moja kwa moja kwenye mada aisee shida yangu mimi ni msichana tu awe mpenzi.
Nikwamba ni mda mrefu sana niko single...
Wajameni salaaama!
Jamani mwenzenu hakuna suala linanitatiza kama kutafuta mwanamke wa kuoa, si kwamba mimi nina mandazi mdomoni ila sasa kila ninayemnasa badae nagundua ni wrong way namani...
Kichwa cha habari kinajieleza,
Mimi ni mwanaume wa miaka 29, mtumishi, mrefu cm 185, mwili wa kawaida.
Msichana awe mweupe, au maji ya kunde, elimu kidato cha nne na kuendelea, mfanya kazi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.