Jina kamili ni Abdulkadir Bin Hassan,
Naishi Tanga,
Kazi yangu ni Tour guide,
Nina miaka 20,
Nahitaji mpenzi serious nahitaji mwanamke anae jitambua kutokana na umri wangu nimeona ni jambo jema...
Natafuta rafiki wa kike (girlfriend) wa kubadilishana naye fikra na uzoefu wa mambo mbalimbali.
Wasifu Wangu
Mfupi kiasi, 5'5 ft, Maji ya kunde
Umri,miaka 28
Ni mkristo
Nina kazi
Napendelea...
Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.
Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu...
Kama kichwa kilivyo,
Kwa mtu timamu hakuna asiyejua hilo ni jukwaa la mlengo gani. Lakini cha kushangaza anatuma mtu post ya kusaka mchumba kama jukwaa linavyotaka,
mtu anaanza kumtukana mleta...
Naishi Dar ni kijana/boy mwenye umri wa miaka 22 natafuta/nahitaji girlfriend mwenye age kati ya 20-21 awe musilum pia awe ni mkazi wa Dar karibu PM kama utakuwa uko tayari mengine yatafuata.
Bint wa kiislam mwenye nia ya kuolewa...awe ana uelewa wa dini ya kiislam vizuri. AMUOGOPE ALLAH.
Swala awe ana swali.
Stara na ajiheshimu.
Awe hajawahi olewa.
Awe hajazaa.
Asiwe na historia...
Habarini wana MMU
Mimi ni kijana wa miaka 27 nnaejiweza kumudu mahitaji yangu na hata ya famiilia ingawa mimi ni mleemavu nmebaatika kusoma na kupata kazi.
Nipo single hii ni kwasababu my...
Imefika wakati baada ya kujitathimini na kuona nnatosha kuwa na mwenzi wa maisha nimeamua nije kwa wanajamvi hususani wanawake na niko very serious na hili jambo nimeona nije niliwasilishe kama...
Nafuta rafiki wa kike, umri miaka 20 hadi 24, baadae aje kuwa mchumba na hatimae kuwa mke. Awe anaishi Daresalaam, na mkristo.
Mim nina umri wa miaka 26, na ninafanya kazi. nipo Dar pia. Karibu...
Habari wanajamvi,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28 nimeajiriwa kwenye sekta ya fedha, ni mrefu (6 feet), maji ya kunde.
Sina ubaguzi wa dini ila mchumba asizidi miaka 37.
Ahsante
Halo Guys (Ladies and Gentlemen)
Kama uzi unavyojieleza,
Nimejitokeza hapa jukwani kutoa langu la moyoni
Incase kuna mdada umri chini ya miaka 28 anahitaji mchumba basi aniPM
Sifa: Awe mkristo...
Natafuta msichana wa kuanzisha nae mahusiano ili tue mke na mume kiuchumi siko vizur ila hicho kwenye picha ndicho kitega uchumi changu kwa alie tayar anichek 0718318745'; 0677950996
Sent using...
Mtafutaji hachoki, nahitaji mchumba (mke) awe anaishi kanda ya ziwa.
Mimi n kijana mjasiliamali nina umli wa miaka 33.
Ninatafuta mke mwenye umli kai ya miaka 26 hadi 33,
awe mkristo, elimu...
Hi guys,
Mimi ni kijana wa miaka 26, fresher kutoka Chuo. Nahitaji msichana wa angalau 20-25 kwa ajili ya serious relationship na baadae ndoa. Awe muislam na awe awe tayari kuambatana nami popote...
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, mtanzania,Nimejitokeza kwenye safu hii ya marafiki kwa lengo la kutafuta rafiki mmoja wa kike ( mchumba), mstaarabu na anayejiheshimu, ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.