Damian Godifrey Chami
Member
- Sep 13, 2017
- 52
- 21
Nashindwa kuwaelewa Wasichana wa sasa kila msichana nikimuaidi kuwa ntamuoa ahamini hii inatokana na nn au wasichana wa sasa awana tena ndoto za kuolewa?????[
Safi sanaKwanini unawaahidi wengi mkuu?
Salute mkuuSafi sana
HaswaaaaUnamuahidi nini mkuu si peleka mahari umuoe tu
Usituhukumu wote lakn mamyLinatokana na uongo wenu jamn tumeshaijua gia yenu
Nashkr kama haupo hvyo maana nilishaanza kupaniqUsituhukumu wote lakn mamy
KabisaaaKweli ukijua kuahidi ujue na kutimiza unaweza unaahidi ambavyo huna unafikiri atajwelewa kweli
Weka ahadi inayo endana na hali yako
Sawa tusubiri atatwambia anawaahidi nini hasaKabisaaa
Usipanic mtoto mzuri npo ili ufurahi bibieNashkr kama haupo hvyo maana nilishaanza kupaniq
AhsanteeeeeeUsipanic mtoto mzuri npo ili ufurahi bibie
Aya mama chukua na kiss iloAhsanteeeeee