Yna aika
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 349
- 1,010
Habarini wanajukwaa,
Kwa mara ya kwanza nakuja jukwaani apa, natafuta mwanaume ambae atakuja kua mchumba na baadae ndoa, Mungu akijalia, nimepitia mirejesho mingi wapo walifanikiwa humu juwaani.
Mimi ni msichana nina miaka 24, nimuajiriwa sekta binafsi Iringa, Msukuma kwa kabila na ni mkristo ninaemcha Mungu sana. Nahitaji mwanaume umri kuanzia 27-32 awe mkristo, mpentekoste atapatakipaumbele zaidi.
Aliepo tayari karibu PM.
Kama haupo serious please usijisumbue kabisa na kupoteza mda w
UZI UMEFUNGWA.
Kwa mara ya kwanza nakuja jukwaani apa, natafuta mwanaume ambae atakuja kua mchumba na baadae ndoa, Mungu akijalia, nimepitia mirejesho mingi wapo walifanikiwa humu juwaani.
Mimi ni msichana nina miaka 24, nimuajiriwa sekta binafsi Iringa, Msukuma kwa kabila na ni mkristo ninaemcha Mungu sana. Nahitaji mwanaume umri kuanzia 27-32 awe mkristo, mpentekoste atapatakipaumbele zaidi.
Aliepo tayari karibu PM.
Kama haupo serious please usijisumbue kabisa na kupoteza mda w
UZI UMEFUNGWA.